Katika mkutano huo Kiwia(Chadema-Ilemela) alifuatana na wabunge wa viti maalum wa Chadema Raya Ibrahim (Pemba) na Chiku Abwao (Iringa).
Hongera Chadema polepole vunja ngome ambayo CCM wameishindwa.
Source: Mwananchi
Katika mkutano huo Kiwia(Chadema-Ilemela) alifuatana na wabunge wa viti maalum wa Chadema Raya Ibrahim (Pemba) na Chiku Abwao (Iringa).
Hongera Chadema polepole vunja ngome ambayo CCM wameishindwa.
Source: Mwananchi
Kwani yeye si mbunge, ni mbunge kama alivyo January Makamba.Kiti maalum? Vipi kuhusu Mbunge aliyechaguliwa na wananchi?
Naona unafananisha Jua na MweziKwani yeye si mbunge, ni mbunge kama alivyo January Makamba.
Unajua katiba inataja aina ngapi za wabunge, mbunge ni mbunge tu nimekupa mfano wa January Makamba hakuchaguliwa kwa kura hata moja lakini ni mbunge.Naona unafananisha Jua na Mwezi
Ni mbunge kama alivyokuwa Baba yake January bunge lililopitaNaona unafananisha Jua na Mwezi