Mwiba
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 7,607
- 1,744
Je wakuwachomea ni hao wahindi tu ? Tulichukua mashamba ya mkonge leo hii kwa mtu yeyote yule mwenye kuyakumbuka mashamba ya mkonge anaweza kutokwa na machozi ,tulitaifisha mabasi mengi tu kwa wanaomkumbuka Hashu Suleiman leo ni sifuri,tulikuwa na KAMATA leo patupu,tulikuwa na uda leo ni dau ,sasa kwa watu hawa kuchoma matrekta na kuharibu mashamba ya miwa ,sidhani kama muhindi atakosa la kufanya ,ila nionavyo wazalendo ambao walikuwa wameajiriwa watakuwa wamepoteza kazi na kipato.
Isiwe tunafurahia tu ni lazima tujiulize je hawa ndio waliotufikisha hapa ? Tunawaona wahindi wanauza ubuyu na jice hadi wanafikia walipofikia ,mwenzangu ukiajiriwa unakaa miezi miwili unamuibia tajiri wako,siku ya tatu unarudia ombaomba si ajabu ukarudi kwa uliemuibia.
Je tatizo ni hawa wahindi ?
Isiwe tunafurahia tu ni lazima tujiulize je hawa ndio waliotufikisha hapa ? Tunawaona wahindi wanauza ubuyu na jice hadi wanafikia walipofikia ,mwenzangu ukiajiriwa unakaa miezi miwili unamuibia tajiri wako,siku ya tatu unarudia ombaomba si ajabu ukarudi kwa uliemuibia.
Je tatizo ni hawa wahindi ?