Mi walinza na 50k Ila wakanipa 43k. Nilipowalipa wakapandisha mpaka 100k, nikakopa wakanipa 86k, yote nimewalipa on time ila wamegoma kupandisha kiwango cha mkopo.
Yani 4km chini ya habari tu hapa hapa duniani kwetu watu wamesepa mazima na bado kuna watu wanaamini kua mtu amewahi kukanyaga mwezini!
Lakini mtu unawezaje kuweka rehani uhai wako kwa kupanda kile kidude? Chini ya bahari kuna mambo mengi sana.
Ulimwengu una viumbe wengi sana, kuna viumbe sura ya mtu ila chini mkia wa nyoka, wengine juu binadam miguu ya mbuzi (mfano PAN), wengine juu mtu chini samaki. Na nyingine nyingi tu. Hawa ni viumbe wa kiroho, kumuona labda aamue yeye umuone.
Ni kweli, Africa mashabiki bado ni changamoto. Mfano mechi ya jana (Al Ahly vs Esperance) tena nusu fainali kabisa naona inapigwa bila mashabiki, uwanja mtupu kabisa.
Na mi nieleweshwe hapo, yule mama kama aliishi miaka 2000 iliyopita na akafa, maana yake hiyo 1919 walitokewa na mzimu wake ama ni nini?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.