Mambo ambayo wabongo wengi wanaamini lakini ni uongo

SimbaMpole123

JF-Expert Member
Apr 23, 2023
5,240
4,376
Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.

1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo.

2. Bikra ya mwanamke ni concept sio kitu cha kuwepo na kutoka. mwanamke anaweza awe bikra na asitoke damu wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.

3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.

4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini

5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order wala nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.

6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo jinafanya mapenzi ya jinsia moja, so ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.

7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana marinda, again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu.

8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.

9. Dini zote duniani ni man made, hamna hata dini moja imetoka kwa muumba sijui nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.

I think ni hayo tu, mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
 
Kuna mengine sijaelewa anual intercose na ana marinda" ndio nini maana yake
Yote kwa yote naona unatetea ushoga ila umeona uambatanishe na bra braa zingine ili watu wasielewe ni kitu gani unataka kuelezea, anyway kiufupi tu ni kwamba bro usihangaike wewe kama ni kufumuliwa fumuliwa tu tena fumu fumu mduku ni wako aibu ni kwako laana ni kwako, sis wengine tunafanya kukuzuia tu kama msaada na kama upendo ila kama utakaidi wewe liwa tu mkuu
 
Naomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.

1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo

2. Bikra ya demu ni concept sio kitu Cha kuwepo na kutoka. Demu anaweza awe bikra na asitoke damu Wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.

3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na Mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa.. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.

4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini

5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order Wala Nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.

6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo Zinafanya mapenzi ya jinsia moja, so Ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.

7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana Malinda...again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu

8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.

9. Dini zote duniani ni man made...hamna hata dini moja imetoka kwa muumba cjui Nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.

I think ni hayo tu...mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
wewe ni mmoja kati ya vijana wa hovyo wa hapa duniani. nonsense!


JESUS IS LORD&SAVIOR
 
hapa wanaume wote watashangilia cc wakataa ndoa wote
Queen,

hii ni mitandao tu usichukulie vitu seriously.

Back in days abby chams alikuwa na kipindi cha talkwith abby chams mara nyingi walikuwa wanakutana vijana wanashare stori zao na mambo wanayopitia ungekua unasikiliza vijana wengi stori zao ungeelewa kwanini puchu ni hatari.

Ok kwenye discord kuna group nipo huwa wapo wataalamu wa masuala ya afya akili members wanashare stories wanazopitia na wengi ni vijana miaka 15-27 testimony nyingi ni masturbation wengine wakiangukia kwenye ushoga, kushindwa kufocus kwenye mambo muhimu hususani ya kujenga future zao hata social anxiety.

Masturbation ni hatari hasa kwa kijana anayeanza kujitafuta, wengi humu wanafanya tu kufurahisha watu.
 
Naomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.

1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo

2. Bikra ya demu ni concept sio kitu Cha kuwepo na kutoka. Demu anaweza awe bikra na asitoke damu Wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.

3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na Mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa.. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.

4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini

5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order Wala Nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.

6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo Zinafanya mapenzi ya jinsia moja, so Ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.

7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana Malinda...again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu

8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.

9. Dini zote duniani ni man made...hamna hata dini moja imetoka kwa muumba cjui Nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.

I think ni hayo tu...mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
Nasikia harufu ya kenyesi kwenye Hili bandiko
 
Naomba huu Uzi usifungwe na mods Wala usiunganishwe. Sijaunda Uzi siku nyingi ila nacomment za wengine naona watu wengi wanaamini vitu vingi ambayo ni uongo kutokana kukosa maarifa na pia kutokana na kujazwa ujinga na dini, tamaduni au hata wazazi wao. So Leo katika Uzi huu nataka ni list vitu vyote hapa.

1. Wanaume na wanawake kidunia population ni almost equal ila wanaume wapo wengi kidogo. Wengi mnadanganyana wanawake wapo wengi sana na kujitungia ratio za uwongo

2. Bikra ya demu ni concept sio kitu Cha kuwepo na kutoka. Demu anaweza awe bikra na asitoke damu Wala kupasua hemen akifanya first time na inaweza kupasuka au kutoka damu kwa sababu zisizo za ngono.

3. Upana wa k hauna uhusiano wowote na Mara alizofanya mapenzi mwanamke au kuzaa.. Kuta za k ni kama za mdomo ukila unapanuka ukifunga unarudi.

4. Masturbating (Puchu) haina madhara yoyote kwa mwanaume na vyote unavyoskia ni Vitisho tu vya tamaduni na dini

5. Hamna illuminati na freemason ni kundi tu la kawaida hamna mambo ya new world order Wala Nini ni propaganda tu za watu wa dini ili kuaminisha watu dunia inatisha na inaisha ili waogope wajaze vikapu vya sadaka.

6. Kuna species zaidi ya 1500 za wanyama ambazo Zinafanya mapenzi ya jinsia moja, so Ile hoja ya sijui wanyama hawapandiani ni uwongo na ni propaganda za wenye dini na tamaduni.

7. Sio watu wote wanaofanya anal intercourse hawana Malinda...again ni propaganda za wenye dini na tamaduni kutishia watu

8. Uganga, makanisa ya kiroho, uchawi, vyote ni uwongo na utapeli wa kudanganya wajinga na maskini.

9. Dini zote duniani ni man made...hamna hata dini moja imetoka kwa muumba cjui Nini zote zimeundwa kutokana na ukosaji maarifa na pia kucontrol maisha ya watu kwa manufaa ya wachache.

I think ni hayo tu...mwenye comment, additions, suggestions, criticism, lolote lile aliseme.
Nasikia harufu ya kenyesi kwenye Hili bandiko
 
Queen,

hii ni mitandao tu usichukulie vitu seriously.

Back in days abby chams alikuwa na kipindi cha talkwith abby chams mara nyingi walikuwa wanakutana vijana wanashare stori zao na mambo wanayopitia ungekua unasikiliza vijana wengi stori zao ungeelewa kwanini puchu ni hatari.

Ok kwenye discord kuna group nipo huwa wapo wataalamu wa masuala ya afya akili members wanashare stories wanazopitia na wengi ni vijana miaka 15-27 testimony nyingi ni masturbation wengine wakiangukia kwenye ushoga, kushindwa kufocus kwenye mambo muhimu hususani ya kujenga future zao hata social anxiety.

Masturbation ni hatari hasa kwa kijana anayeanza kujitafuta, wengi humu wanafanya tu kufurahisha watu.
Yaa upige punyeto Hadi uwe punga hiyo punyeto unajitia vidole makalioni au ?
 
Back
Top Bottom