Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Hahahhahahahhaha....eee mwanangu...kama anaweza cheza beki kwa nn ashindwe kiungo,unakumbuka kipindi cha mourinho mechi za El classico na mechi ngumu za UCL?Ramos au pepe walikuwa wanacheza kiungo mkabaji..

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Afu ukae unapoteza muda kujibizana na watu kama hao. Nishaacha kabisa.

Naona kocha kasema game inayofata atapumzisha baadhi ya key player ambayo ni laliga.

Sema j5 ana kazi maana alaba na rudiger walicheza vizuri. Militao naye anarudi sijui itakuaje
Wakianza Militao na Rudiger itapendeza sana.
Alaba akae bench just in case.


Hivi kwanini faulo nyingi anapiga Alaba wakati Asensio/Rodyrigo/Kroos wana accuracy kubwa kuliko yeye, hua sielewi.
 
Game za UEFA zikiisha huwezi kuziona hizi mamruki humu Tena ,kwanza hata la liga hayafuatilii
 
Wakianza Militao na Rudiger itapendeza sana.
Alaba akae bench just in case.


Hivi kwanini faulo nyingi anapiga Alaba wakati Asensio/Rodyrigo/Kroos wana accuracy kubwa kuliko yeye, hua sielewi.
Au mazoezini hali huwa ni tofauti nini?wakiwa wanafanyia kazi mazoezi yakupiga mipira ya namna hiyo?

Sent from my SM-A336E using JamiiForums mobile app
 
Kumbe ww mpira unaangaliaga kibanda umiza mzee
Kwan Kuna shida? Kwa taarifa Yako vibe la kibanda umiza Huwa Lina ladha yake binafsi Nina tv na kingamuzi kinachoonyesha hizo mechi ila wakat wa mechi lazima niwepo kibanda umiza to feel the vibe of the game.
 
Futeni huu Uzi hauna mashabiki ,Kuna mamrukii tu yanayovamia kipindi cha UEFA baada ya hapo yanapotea kusikojulikana ...

Nan anafuatulia la Liga hapa bongo ,acheni ujinga vijana rudin kwenye team zenu pumbavu sanaaa
 
Binafsi sijawahi ona mashabiki wa real Madrid bongo hata jf hakuna ....

Hakuna mtu anayefuatilia ligi mbovu kama la Liga ,week after week hata vibanda umiza huwezi Kuta wanapoteza muda kuangalia la Liga ,ni Bora kucheki game za Brighton vs lecister city .....



nyie wote humu ni mamruki ambao mnatokoea msimu wa UEFA tu na kupoteana baada ya mashindano ya UEFA kuisha ....kisa Madrid anacheza UEFA .....


Futeni huu Uzi hauna maana
Mimi nimeanza kuwa shabiki wa real Madrid tokea 2000

Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Real madrid Fan Jersey
Bei••••25000
IMG_3859.jpg

IMG_3858.jpg

IMG_3862.jpg

IMG_3863.jpg
 
Afu ukae unapoteza muda kujibizana na watu kama hao. Nishaacha kabisa.

Naona kocha kasema game inayofata atapumzisha baadhi ya key player ambayo ni laliga.

Sema j5 ana kazi maana alaba na rudiger walicheza vizuri. Militao naye anarudi sijui itakuaje

Militao ni wakufyekwa Bench tu
 
Unawasikia eti wanajitapa wenyewe mashabiki wa La Liga. Humu wote wana timu zao za EPL ila ni glory hunters tu wanaoshabikia Madrid sababu inafanya vizuri UEFA tu.

Bongo hakuna mashabiki wa La Liga ukitaka kuamini hakuna kibanda umiza TZ kinachoonesha mechi za La Liga tofauti na El classico

Kwahiyo kwa fikra zako watu wote wanashabikia EPL? Pumbav kabisa
 
Heko Madrid

Jana sijafanikiwa kupata muda wa kutazama game na getafe. Sahizi ndio napitia report ya mechi naona camavinga alikua na knock kidogo. Inatia wasi wasi kama ata kuwapo kwenye game ya j5. Pia tchouameni jana kaupiga wa kumwagika.

Ngoja nimalizie kunywa supu nitazame marudio game nzima. Japo tulikua na ushindi mwembamba
 
Heko Madrid

Jana sijafanikiwa kupata muda wa kutazama game na getafe. Sahizi ndio napitia report ya mechi naona camavinga alikua na knock kidogo. Inatia wasi wasi kama ata kuwapo kwenye game ya j5. Pia tchouameni jana kaupiga wa kumwagika.

Ngoja nimalizie kunywa supu nitazame marudio game nzima. Japo tulikua na ushindi mwembamba

Mwenyew sikutazama ila niliona line up Hazard alianza ukiurudia nitazamie kama anashawishi au tukubali yaishe
 
Heko Madrid

Jana sijafanikiwa kupata muda wa kutazama game na getafe. Sahizi ndio napitia report ya mechi naona camavinga alikua na knock kidogo. Inatia wasi wasi kama ata kuwapo kwenye game ya j5. Pia tchouameni jana kaupiga wa kumwagika.

Ngoja nimalizie kunywa supu nitazame marudio game nzima. Japo tulikua na ushindi mwembamba
Don Carlo kasema sio tatizo kubwa atakua sawa na next match atakuwa uwanjani.
 
Siamin kama Kuna mtu humu anafuatulia la Liga to be honestly....

Hii timu ni grory hunter UEFA tu ,baada ya hapo hautayaona humu

Football = epl


Hayo mengine ni mkusanyiko wa wahuni wanacheza uwanjan ...
 
Back
Top Bottom