Recent content by BabaBabuu

  1. BabaBabuu

    Kipindi cha Take One cha Clouds TV hakifai kwa maadili, kinatangaza Ushoga

    Mmeniudhi leo clouds TV..... Kuhoji hawa live bila mwanasaikolojia mnazidi kuchochea kuongezeka kwa hawa watu.... Imagine linavyobwabwaja, wanetu wataona ni fashion kuwa hivi..... TCRA naomba muingilie kati please...
  2. BabaBabuu

    Kuwait dinars yaongoza (Rates exchanges)

    Now, this is GT forum that I would like to see.... :-)
  3. BabaBabuu

    Majibu kutoka kwa HR wa Viettel Global Investment (Viettel Tanzania)

    P.O. Box 110230, plot 145, Mgombani street, Mikocheni, DSM
  4. BabaBabuu

    Ni sahihi kwa Mbowe kulala Hotel ya Dola 700 kwa siku huku wafuasi wake wakishindia Mikate na Maji?

    Nimejaribu kusummarize ulichokisema: Mbowe kakimbia nchi na kwenda kuponda raha south Africa, ingawa rafiki yako ambaye ni kiongozi wa juu wa CHADEMA kasema anaenda kwa shughuli za kichama kumbe anaenda kwenye biashara zake. Hakuna aliyejua sababu za msingi za kwenda huko, ila Paul Makonda na...
  5. BabaBabuu

    Hali ya Mwandsya Kiafya

    Nimeambiwa keshafariki
  6. BabaBabuu

    Wazee wa kuchakachua

    Tafakari, halafu jadili
  7. BabaBabuu

    Membe kuwania urais 2015...

    aaaaghhh!!!!!!!! what a waste of time
  8. BabaBabuu

    Ukereketwa wa dini

    swali lako ni zuri ingawa naona wazee wa ligi washaanza kuliteka na kulipeleka kwenye ligi yao. kuna ukweli hapo, mfano uislam na ukristo umetoka huko kwa wenyewe, lakini ulivyokuja kwetu sisi tuliokua na dini za kijadi ndo tumekuwa wakereketwa na wafurukutwa kushinda wao mi nafikiri kwa wengi...
  9. BabaBabuu

    Hii kitu mnatumia?

    hahahahaha si useme punyeto tu, eti something else!!! ukitaka ujue utamu wa kavu ni pale condom inapopasuka, dunia mbili tofauti kabisa.
  10. BabaBabuu

    Kizazi kijacho ni damu ya Mchina na Mswahili.

    acha uongo, mdogo wangu kaoa mchina na mkewe kajifungua dume chotara, liko safi tu na jamaa hajahama guangzhou mpaka leo. hayuko peke yake wako wengi tu pale pia uwe na uhakika wa jinsi ya kulitumia neno `species' maana iko species moja tu ya human nayo ni Homo sapiens ambayo inatujumuisha wote...
  11. BabaBabuu

    Nyoka Anammeza Kangaroo

    Duh mbona una experience hivo, uliwahi kuliwa nini
  12. BabaBabuu

    Sitaki tena, sipendi wampime Rais akili!?

    watu wote pamoja na hao madaktari. inakuwaje kama daktari anayekupima ana kichaa zaidi yako? halafu hivi akili inapimwaje?
  13. BabaBabuu

    Mwanamke mshamba....!?

    bih bih bih arusha unaitwa mshedede huo tena wa kuchorongea manta
  14. BabaBabuu

    Mke wa Freeman Mbowe

    ahahahahahahaha kaaaaaaaaaaz kwelikweli toa mti weka mti. mi ningependa nimjue mume wa sophia simba
Back
Top Bottom