Game Theory
JF-Expert Member
- Sep 5, 2006
- 8,546
- 881
MODS mtafanya la maana kama mtaifunga hii thread. Maana mpaka imefikia page ya nane lakini hamna substance. Kuendelea kwa thread hii itakuwa ni matumizi mabaya ya JF. Kama vipi muihamishie hii thread kwenye PM za hawa waarabu wa Pemba GT vs Chechetuka bin Chetuuu, maana ni wazi hawa ni malenga wenye nia ya kuleta sanaa za majigambo na mipasho. Sasa twaomba wapatiwe ukumbi private huko waoneshane umwamba.
Naomba kuwasilisha hoja binafsi.
duh!!
yale yaleee....
uzuri ni kuwa Mods ni werevu kuliko mnavyofikiria