Wazee wa kuchakachua

BabaBabuu

Member
Mar 31, 2009
85
3
34427_1553272923572_1587644562_1277536_3120318_n.jpg

Tafakari, halafu jadili
 
Nilikuwa sijaelewa ina maana gani.

Mkuu kweli una macho maana ndiyo kwanza naona kuwa kuna watu wanarudiwa mara kibaooo...

Duuu, hii ni kiboko....

attachment.php
 
Duh kwisha habari yao CCM. Hwatafika mbali. wako ICU oyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
 
Umeifanya siku yangu iwe ya amani sana na kujua kuwa mambo yamekuwa magumu sana kiasi kwamba wanachakachua hata picha ili tuone wako wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom