Dingswayo JF-Expert Member May 26, 2009 4,019 2,923 Oct 28, 2010 #3 BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Hii kiboko kweli jamaa wamechakachua picha...photoshop hiyo!
BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Hii kiboko kweli jamaa wamechakachua picha...photoshop hiyo!
nguvumali JF-Expert Member Sep 3, 2009 4,923 1,325 Oct 28, 2010 #4 hahahahahahhaaaaaah, daaaah , thats why nalipenda hili Jukwaa.
B Babuyao JF-Expert Member Jun 6, 2009 1,741 272 Oct 28, 2010 #6 JF kisima cha elimu kwa kweli. Nimekubali.
H Hardwood JF-Expert Member Sep 21, 2010 1,020 1,033 Oct 28, 2010 #7 BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Mkuu uko juu sana!!!! You are Grand Photo-Editor Siku yangu imekamilika mkuu
BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Mkuu uko juu sana!!!! You are Grand Photo-Editor Siku yangu imekamilika mkuu
nguvumali JF-Expert Member Sep 3, 2009 4,923 1,325 Oct 28, 2010 #8 mwaka huu ccm wanweweseka , hata hili nalo la kuchakachua,
Mpambalyoto JF-Expert Member Mar 26, 2010 752 3 Oct 28, 2010 #9 BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Mkuu umeniacha hoi, hongera ya hali ya juu. Naomba kama unaweza uzi-link hizo picha zinazofanana au uzizungushie rangi ya kufanana
BabaBabuu said: View attachment 15848 Tafakari, halafu jadili Click to expand... Mkuu umeniacha hoi, hongera ya hali ya juu. Naomba kama unaweza uzi-link hizo picha zinazofanana au uzizungushie rangi ya kufanana
Sikonge JF-Expert Member Jan 19, 2008 11,550 6,062 Oct 28, 2010 #10 Nilikuwa sijaelewa ina maana gani. Mkuu kweli una macho maana ndiyo kwanza naona kuwa kuna watu wanarudiwa mara kibaooo... Duuu, hii ni kiboko....
Nilikuwa sijaelewa ina maana gani. Mkuu kweli una macho maana ndiyo kwanza naona kuwa kuna watu wanarudiwa mara kibaooo... Duuu, hii ni kiboko....
N-handsome JF-Expert Member Jan 23, 2008 2,453 556 Oct 28, 2010 #11 Ebwana dahhhhhhhhhhhhhhhhhhh hii ni noumer! :doh:
SILENT WHISPER JF-Expert Member Jun 26, 2009 2,209 821 Oct 28, 2010 #12 nguvumali said: mwaka huu ccm wanweweseka , hata hili nalo la kuchakachua, Click to expand... hahahaaha...! looooo!!! aiiiiibuuuuu..>! VOTE CHADEME..VOTE SLAA
nguvumali said: mwaka huu ccm wanweweseka , hata hili nalo la kuchakachua, Click to expand... hahahaaha...! looooo!!! aiiiiibuuuuu..>! VOTE CHADEME..VOTE SLAA
FirstLady1 JF-Expert Member Jul 29, 2009 16,792 5,374 Oct 29, 2010 #15 JF nimewakubali .good one:A S-cry:
R RR JF-Expert Member Mar 17, 2007 6,966 2,019 Oct 29, 2010 #16 BabaBabuu said: Tafakari, halafu jadili Click to expand... Mkuu hii pic umeitoa wapi.......:ranger:
S samvande2002 JF-Expert Member Mar 6, 2009 413 34 Oct 29, 2010 #18 it got to be the home of great great thinkers! word up!
tzjamani JF-Expert Member Oct 9, 2010 995 30 Oct 29, 2010 #19 Duh kwisha habari yao CCM. Hwatafika mbali. wako ICU oyiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii.
Joseph JF-Expert Member Aug 3, 2007 3,518 1,086 Oct 29, 2010 #20 Umeifanya siku yangu iwe ya amani sana na kujua kuwa mambo yamekuwa magumu sana kiasi kwamba wanachakachua hata picha ili tuone wako wengi.
Umeifanya siku yangu iwe ya amani sana na kujua kuwa mambo yamekuwa magumu sana kiasi kwamba wanachakachua hata picha ili tuone wako wengi.