Recent content by baba yake

  1. baba yake

    Mnaotoa mizigo ya kuuza kutoka Nairobi kuja Dar es Salaam mnatumia usafiri gani?

    Inategemea ni mzigo gani na unatoka nrb kwenda wapi
  2. baba yake

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Huwezi linganisha dar na nairob kwa namna yoyote ile unless hujatembea, nairobi iko mbali sana katika nyanja zote huwez kuoshindanisha na dar
  3. baba yake

    YALIYOJIRI: Mkutano wa Ufunguzi wa Kampeni za CCM - Viwanja vya Jangwani, Dar-es-Salaam

    wakifanya wao sawa wakifanya wengine makosa
  4. baba yake

    Mrembo wangu hanisaidii kazi akija nyumbani

    Akusaidie kazi kwani ni mfanyakazi wako?? ndo maana wanaume hawataki kuoa maana baadhi ya wa dada wamejirahisisha kutoa huduma zote kwa wanaume ambao bado hawajawaoa. badilikeni!!
  5. baba yake

    Nokia C3

    acha wivu wa kijinga jiamini wewe mtoto wa kiume
  6. baba yake

    Natafuta mama mtu mzima tuwe wapenzi

    c uanza na mama ako kwanza?
  7. baba yake

    Kanipa Deadline either nikajitambulishe kwao au tuachane.

    Miaka 3 mmmh hapana uchumba gani huo? mapenzi yenyewe ya mbali?hata kama unampenda hauko serios maisha ya sasa yana vishawishi vingi kama kakuvumilia miaka mi 3 fanya ki2 kwa ajili yake aone kua hapotezi muda wake kwako kama haupo tayari mruhusu
  8. baba yake

    nikajitambulishe kwao

    Wiki 3 ni chache sana tulia, vuta subira kama na yy anakupenda kweli mwambie asubiri mhunguzane na mjuane vzr kitabia kwanza, asipokulewa tupa kuleeeee anataka akuuzie mbuz kwny gunia
  9. baba yake

    miaka 5 ya ndoa uume hausimami,atumia ulimi tu kumridhisha mkewe

    Ina maana walikaa uchumba mda gani hadi wakaoana? je kwa mda wote walokaa uchumba hawakuwah kufanya cochote????????
  10. baba yake

    Nianzeje kumwambia mke wangu kuwa nimezaa nje?

    we ulivyoenda kuzaa nje tena baada ya mkeo kujifungua ulitegemea nini??
  11. baba yake

    Mke wangu kachachamaa anataka tuachane!

    pumbavu c kila mila ni za kufuata nyingine zimepitwa na wkt mambo ya kurithiana yamepitwa na wkt kbsaaaaaa we unaishi sayari gan???????????
  12. baba yake

    Natafuta mwanamke mtu mzima

    Miaka 25 unatafuta m/mke mwenye umri sawa na mama ako au alimzid mama ako, shame on you! unaonaje ukaanza na mama ako c mkubwa pia?
  13. baba yake

    Naombeni kujuzwa

    mahusiano ya kukaa cku 2 bila kuwasiliana na mpenz wako bila sbb zamsing hayo ni utata na kuumizana tu. Kaa nae chin muulize, halaf mchunguze yawezekana upendo wake kwako umeisha ndo maana haon ajabu kukaa cku 2 bilakukujulia hali
  14. baba yake

    anacho nifanyi haki kweli au?

    wewe c muhimu kwake kama unavyofkiria
  15. baba yake

    Suala hili linaniumiza sana kichwa na kunitesa

    huyo c mpenzi wako ni mpenzi wa mtu we ndo kwanza unamlazimisha awe mpenzi wako jiulize upya
Back
Top Bottom