Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,891
- 155,906
mimi ni mwanaume wa miaka 35 sasa, nilioa miaka 4 iliyopita, kisha nikaghaflika nikazaa na mwanamke mmoja baada ya mke wangu tu kujifungua.
Sasa mwanamke huyo anataka kuolewa na anayemuoa amemwambia ni vyema akamkabidhi mtoto kwa baba yake halisi na hata kama ni
kuishi naye yuko tayari, em nisaidie njia ya kumueleza mke wangu na wadau wako maana nashindwa pa kuanzia, namhurumia mke wangu sana.
Nisaidieni
Sasa mwanamke huyo anataka kuolewa na anayemuoa amemwambia ni vyema akamkabidhi mtoto kwa baba yake halisi na hata kama ni
kuishi naye yuko tayari, em nisaidie njia ya kumueleza mke wangu na wadau wako maana nashindwa pa kuanzia, namhurumia mke wangu sana.
Nisaidieni