Mke wangu kachachamaa anataka tuachane!

Mke wangu kachachamaa anataka tuachane!

Tatizo kubwa naona kuwa ana majibu na maamuzi tayari ndiyo maana kila anayemshauri kutomrithi shemeji yake anapingana naye. Alitegemea wanaJf wana mawazo kama yake.

Endelea na maamuzi yako kama unavyofikiria, muache mkeo akatafuta mwelekeo mwingine.

Ingekuwa viceversa cjui kama angekubali
 
Kwa hyo hapa inaonesha m'ke hachagui wa kumuoa hata kama hajaridhika nae
 
pumbavu c kila mila ni za kufuata nyingine zimepitwa na wkt mambo ya kurithiana yamepitwa na wkt kbsaaaaaa we unaishi sayari gan???????????
 
Back
Top Bottom