anacho nifanyi haki kweli au?

anacho nifanyi haki kweli au?

Tupo wangapi hiyo! Shtuka kiongozi unaingizwa kwenye gridi ya taifa bila kujua. Inawezekana huyo aliyepiga simu upande wa pili ndo aliyenunua hiyo simu, wewe mtuma vocha kuna mwingine anampeleka shopping halafu kuna lile pedeshee la kusafiri nalo mikutanoni mara bwagamoyo, tanga arusha mwanza dodoma na zenji kuwa mwangalifu kijana!
 
We kilaza sana hata hili unashindwa kumhoji na kuchukua hatua
 
Tupo wangapi hiyo! Shtuka kiongozi unaingizwa kwenye gridi ya taifa bila kujua. Inawezekana huyo aliyepiga simu upande wa pili ndo aliyenunua hiyo simu, wewe mtuma vocha kuna mwingine anampeleka shopping halafu kuna lile pedeshee la kusafiri nalo mikutanoni mara bwagamoyo, tanga arusha mwanza dodoma na zenji kuwa mwangalifu kijana!

Duuuh! Unazidikupigilia msumari ndugu
 
We kilaza sana hata hili unashindwa kumhoji na kuchukua hatua

kuhoji nimehoji....kuhusu hatua,kunahatua waweza kuchukua alafu ukajikuta umekosea kwaiyo haina papara sana zitachukuliwa usijali
 
Kwa umuhimu wewe ni wapili akitoka huyo mtu!
Kifu ujiandae kufungasha kilicho chako! Calm down hayo ndio maisha!
eti jaman hii kitu inanishangaza kwa kweli,kuna manzi yangu mmoja hivi nikiwa naongea nae kwa simu nyakati za usiku,kunamtu huwaanampigia,sasa yeye anachofanya nikuhold on namba yangu(yani kama kunistopish flani)alafu anaongea nauyo kiumbe mwengine akimaliza kuongea nae ndo ananiludisha mm...,,Eti jamani hii kweli haki kwa mm boyfriend wake?
 
Sasa wewe unawekwa on hold mwingine anapigiwa..! Unacomplain vp anaepiga simu na kukuta the number is busy..masaa manne???
 
Pole sana kijana, hapo tunaangalia kipaumbele yani priority! Kama ni usiku huyo hawezi kuwa mzazi wake, either rafiki na wewe ni zaidi ya rafiki maana yake unatakiwa upewe kipaumbele sana chunguza, lakini inategemea anakuhold kwa muda gani na pia mnaongea kila siku ama! Kuna wakati mtu anaweza kukuchoka kimaongezi kama huwa kila siku waongea na wakosa ubunifu! Lakini ni kwa mara ngapi anakuweka hold! Nini cha kufanya, huyo ni moenzi wako mwambie vile unajisikia vibaya ukiwekwa hold.

Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
hihi hiii hiiiiiiiiiiiiiiiiiii plz spare my ribs jamani!
 
Kwani wewe hauna mwingine? Kama huna,tafuta ili uwe unam-hold na wewe.Simple like that men
Utakuwa unabomoa badala ya kujenga hata hivyo ni kujikomoa kwani mwanamke huenda alishapenda kwelikweli wakati wewe utakua unaigiza huku moyo wako ukiwa kwa huyu anayeku-hold. Better u discuss and reach conclusion.
 
kama umeshindwa kuufanyia kazi huo ushauri basi mnyang'anye simu wala usimruhusu kununua ingine.Simple like that.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom