- Thread starter
- #41
mkuu hatakamaunamfahamu!
ningemjua ningekuja kwa watalam humu jombaa maana jf ni zaidi ya mahakama
mkuu hatakamaunamfahamu!
Dah kaka, kuaminiana katika ndoa nijambo la muhimu sana! Naona kabisa ndoa yako inavoingia matatani mkuu! Nikweli utapewa altenative ya kumtrace, unajua madhara yake? Ni ugomuvi ndoa kuvunjika, mwisho wake watoto kutaabika, ushauri wangu jaribu kumwambia kwanini ana futa sms kabla ya kukupa sim? Kisha umwambie hupendi tabia hiyo kwani inakutia mashaka, atakuwa mkali sana hivyo jiandae kumkabili kama mwanaume.
Mkuu malizia uhondo basi. Ukishadownload what next? Nna kanyumba kangu kadogo kanatumia hiyo simu nataka nikatafutie sababu.
Nyumba ndogo zinachuna mpaka mifupa. Khaaa! Nshaghairi mie
hayuko fb wala mtandao wowote ila ni mwajiriwa pale karakana ya ufundi wa magari ya serikali temesa yeye ni kama store kiper
Umemwingiza mkeo katika basi la kichina aina ya Yutong!! Sijui kama unajua linakoelekea na atashukia kituo gani apokelewe na nani...! Tafakari kabla ya kujibu baadhi ya maswali maana wengine wako kikazi zaidi hapa jamvini.
Huu utaratibu bado upo stineriga?nenda kampuni ya simu, wanajinsi ya kufanya watakuprintia msg zozote unazotaka,