ndoto za vijana zinaangamia kwa kindege ni hatari. Nawashukuru sana wote mlionipa nguvu chanya wakati naziihitaji hakika JF ni nyumbani. Epuka kamari kwa nguvu na akili zako zote
betting ni bahati full stop. kanji mwenyewe ukimwambia asuke mkeka na yeye anapasuka vile vile tuu we ulijua arsenal na wolves watasare vp jana inter kukatwa na badoo glimit?
then kuna mwamba huku mtaa anapitaga na kipaza sauti na tangazo lake huwa ni "Nanunua simu mbovu, remote, deki pamoja na pc mbovu mbovu kabisa kwa bei ya Tsh.500 tuu" huyu mwamba bila shaka itakuwa ni dili zake hizi
mkuu nafkiri gambling ni zaidi ya hayo madawa uku mtaa boda boda, bajaji na mafundi wa kila aina wanateseka na kindege A.K.A AVIOTOR yaani mtu analiwa mpaka anaapa akicheza tena agongwe na gari au wenzake wapige lakini mambo bado ni moto
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.