Recent content by Baba wa mbingu

  1. Baba wa mbingu

    Evil among us

    Usikuu huu wote kulikoni?
  2. Baba wa mbingu

    BMW wamezindua BMW i3 Sedan | Hii ni 3 Series ya Umeme!

    hii sijui niuze urithi wangu ili niimiliki?
  3. Baba wa mbingu

    Jinsi ya kufanya time travel, kwenda nyuma ya muda

    hii ni chai ya rangi kamailivyo id yako
  4. Baba wa mbingu

    Aviator mchezo ulionipoteza kiakili na kifedha ila sasa nimeushinda

    ndoto za vijana zinaangamia kwa kindege ni hatari. Nawashukuru sana wote mlionipa nguvu chanya wakati naziihitaji hakika JF ni nyumbani. Epuka kamari kwa nguvu na akili zako zote
  5. Baba wa mbingu

    Unajua ili katika betting, Tunatumia sana hisia kuliko akili ndo maana tunakosa

    betting ni bahati full stop. kanji mwenyewe ukimwambia asuke mkeka na yeye anapasuka vile vile tuu we ulijua arsenal na wolves watasare vp jana inter kukatwa na badoo glimit?
  6. Baba wa mbingu

    Zungu apigwa onyo kali kwa kukiuka maadili kuhusu tukio la uchelewaji wa ndege ya ATCL Mwanza - Dar

    hivi hapa zungu alilalamika kama mteja au mwandishi wa habari?
  7. Baba wa mbingu

    Maarifa ya kiroho: Karibu tuzungumze tuelimishane

    sijui ni nini nataka sema ila epuka sana vitu used
  8. Baba wa mbingu

    Unataka dhahabu?

    then kuna mwamba huku mtaa anapitaga na kipaza sauti na tangazo lake huwa ni "Nanunua simu mbovu, remote, deki pamoja na pc mbovu mbovu kabisa kwa bei ya Tsh.500 tuu" huyu mwamba bila shaka itakuwa ni dili zake hizi
  9. Baba wa mbingu

    Unataka dhahabu?

    ngumu sana kama kumkuta rasta kavaa helment wakati akiendesha pikipiki:Jupijej:
  10. Baba wa mbingu

    Fundi wa kutongoza: mtongoze member yeyote humu tuone ufundi wako

    wenye vipaji huu siyo uzi wetu.... case closed
  11. Baba wa mbingu

    Unataka dhahabu?

    electrolysis au unaweza tumia njia ya smelting ila ni gharama sana
  12. Baba wa mbingu

    Unataka dhahabu?

    me nlianza mwaka 2013 saiv na gram 900
  13. Baba wa mbingu

    Watumiaji wengi wa Bangi, cocaine, heroin wanatamani kuacha lakini hawawezi

    mkuu nafkiri gambling ni zaidi ya hayo madawa uku mtaa boda boda, bajaji na mafundi wa kila aina wanateseka na kindege A.K.A AVIOTOR yaani mtu analiwa mpaka anaapa akicheza tena agongwe na gari au wenzake wapige lakini mambo bado ni moto
  14. Baba wa mbingu

    Gerson Msigwa: Naibu Waziri hakueleweka vizuri. Serikali hatujakosa pesa za kujenga uwanja wa Arusha

    dj tunatest mitambo one! two! one! two! tunajaribu Hello!!
Back
Top Bottom