Recent content by Baba wa mbingu

  1. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Gen Z ulidananywa nini na Millenials?

    karibu jogging club ukimbize magonjwa nyemelezi.:Agakakskagesh:
  2. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Gen Z ulidananywa nini na Millenials?

    wacha waje maana teknolojia imeweka uwongo wenu wote waziiii
  3. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Gen Z ulidananywa nini na Millenials?

    Wakubwa kwema? Wakati flani kwenye makuzi yangu kuna Brother mmoja alinidanganyaga kuwa LEGEND Roberto Carlos wakati wake akiwa anakiwasha vizuri kwenye soka kuwa alimwambia Dogo lake akidaka penalty yake anampa robotatu ya utajiri wake na mke wake. Ikatokea mdogo wake akaudaka mkwaju wake wa...
  4. Baba wa mbingu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume zikilizeni

    kwani unaumwa mafua?
  5. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Hii ndiyo sababu ya pengo la maendeleo kati ya Wakristo na Waislamu kwetu Watanzania wa asili

    5. Watoto wenye wazazi wakristo wana uhakika wa malezi kuzidi waislam. HAPA MKUU umenena vyema kabisa siyo kwa ubaya wala nini ila madogo wengi waliotelekezwa ama kukosa malezi ya wazazi wote wawili, ingawaje wazazi wao wapo basi ni wa upande huo wa uislamu.
  6. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Tanzura Kabla ya Next World Cup kuna ubwabwa

    sawa muda ni mwalimu mzuri.
  7. Baba wa mbingu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Na nyie mmeliona hili kwa mabinti wa kuanzia 2000-2005?

    aseeee
  8. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Kuna madhara gani nikiweka ''lamination'' kwenye cheti changu ?

    mkuu vyeti vinavyotakiwa kupigwa muhuri na mwanasheria ni vya academic tuu ama na cha kuzaliwa?
  9. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Tiririka na JF

  10. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Tiririka na JF

  11. Baba wa mbingu

    JamiiForums Tanzania Tiririka na JF

  12. Baba wa mbingu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Leo nimejichanganya kwa malaya Kahama

    mkuu ni bora ungetumia ile ile id yako ya zamani hii join 26 ni mitego unatuletea humu na CHAI zako.
  13. Baba wa mbingu

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa takwimu hizi usaliti, kama una roho ya kushindwa kustahimili maumivu ni bora kwako usioe

    ukikua nakuhakikishia hizi takwimu zako hutaangaika nazo utafocus na maisha kama huamini mtafte min -me kwa ushauri, hakika hutojutia
Back
Top Bottom