Wakubwa kwema?
Wakati flani kwenye makuzi yangu kuna Brother mmoja alinidanganyaga kuwa LEGEND Roberto Carlos wakati wake akiwa anakiwasha vizuri kwenye soka kuwa alimwambia Dogo lake akidaka penalty yake anampa robotatu ya utajiri wake na mke wake.
Ikatokea mdogo wake akaudaka mkwaju wake wa...
5. Watoto wenye wazazi wakristo wana uhakika wa malezi kuzidi waislam. HAPA MKUU umenena vyema kabisa siyo kwa ubaya wala nini ila madogo wengi waliotelekezwa ama kukosa malezi ya wazazi wote wawili, ingawaje wazazi wao wapo basi ni wa upande huo wa uislamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.