secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 21,607
- 44,355
Hapa namtania tu Rungu. 😂Kaka ndege, naona nasaha kwa vijana unawapatia za kutosha tatizo ni konyagiiii/ kvant imesha shika hataku KICHWANI mwa ndugu mtembeza Rungu.
Hapa namtania tu Rungu. 😂Kaka ndege, naona nasaha kwa vijana unawapatia za kutosha tatizo ni konyagiiii/ kvant imesha shika hataku KICHWANI mwa ndugu mtembeza Rungu.
☺️😀Hapa namtania tu Rungu. 😂
Jf Hadi harufu inasikika kwenye picha?Meza chafu , mazingira ya hovyo , pombe yenyewe chafu, hapo lazima kuna harufu ya choo , ikitokea pembeni, huku sio kula bata ni kuteseka
UTASUBIRI SANA, MIMI SIO LAZIMA NIWEPO OFISINI NDIO MAMABO YAENDE, WAPO WATU WANAFANYA KAZIKama umejiajiri na unatumia muda kwa mtindo huu...baasi tunasubiri muda uongee.
Ongeza na watu zuri,Bar gani wanakupa options nyingi hivyo komredi?
Sehem kama hiyo siwez kupata miknd Ile ya uswahilini ta 2005
Tulia hebu! 🤣
Unyama bwashee
Taifa teule la TanganyikaTaifa lipi?
Umechagua kuitumikia familia ya malkia iendelee kuenjoymkuu mimi nipo uku nimejitolea JKT wewe unakula maisha sawa bhana acha nimalizie mktataba tujumuike pamoja
Nilikuwa najiuliza inakuwa jukwaa lile anakuwa vile na huku anakuwa hivi kumbe wewe sio REAL Comrade KipepeNi hatari
Real au kwamba Mimi sio yule ? Mana huyo mwenyewe simjui, au yeye ndio mwenye gazeti la sani?Nilikuwa najiuliza inakuwa jukwaa lile anakuwa vile na huku anakuwa hivi kumbe wewe sio REAL Comrade Kipepe
Nilifikiri ni mtu mmoja kumbe watu wawili tofauti.Real au kwamba Mimi sio yule ? Mana huyo mwenyewe simjui, au yeye ndio mwenye gazeti la sani?