Recent content by Baba Jr

  1. Baba Jr

    Utata wa kifo cha Dkt. Omary Ali Juma

    Wanae anaitwa "Mwezi Wa Kwanza"
  2. Baba Jr

    Mwenyekiti wa Jumuiya ya Wazazi CCM Mkoa wa DSM amtolea Uvivu Zakaria Kakobe

    Likirushwa Jiwe gizani ukasikia aii ujue limempata mtu uko
  3. Baba Jr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tununue yule sijui Perroti aseee maana bila straika
  4. Baba Jr

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Perez vunja Bank nunua Kane, De Gea, Hazard tutafute ata ka Copa Del Rey
  5. Baba Jr

    Kinachoendelea Moshi, Hakuna Hali Ngumu

    Wachagga tofauti na Makabila Mengi wana nidhamu ya Fedha na Uelewa wa Kutunza kwa ajili ya Jambo fulani wacha wale maisha desemba kwao ni kufuta jasho la mwaka mzima
  6. Baba Jr

    Mjadala: Serikali ya Tanzania kuchukiwa na idadi kubwa ya vijana wake. Tatizo la msingi ni nini?

    Vijana wengi (Sio wote) wenye Utimamu wa Akili, Wasiounufaika na Mfumo, Wasioona Dira ya Ajira kwao wamekatishwa Tamaa na Serikali hii..hawana Uhuru wa kusema, wamesoma kwa Pesa za kudunduliza na Kodi za Wananchi lakini Ajira kwao ni Dana Dana ( hasa Fani zenye uihitaji) na Bado hawaioni Kesho...
  7. Baba Jr

    TAKUKURU yamshikilia aliyekuwa Rais wa Chama cha Walimu Tanzania (CWT), Bwana Gratian Mkoba

    CWT sio CHAMA Cha Walimu Halisi ni Ka kikundi ka Wanaufaikaji kupitia Walimu naona sasa na Siasa Imeingia humo litakuja jitu Jiinga haswaaa
  8. Baba Jr

    Tundu Lissu: Spika asilete hoja kuwa sehemu aliyopelekwa ndio inakuwa kikwazo yeye kulipiwa gharama

    Utu ni jambo jema sana hata kwa kuigiza huonyesha utimamu wa Mpumbavu
  9. Baba Jr

    Usajili Simba SC: Hawa Ndio Wanabaki, Wanaoondoka na wanaotarajiwa Kusajiliwa

    Miaka 34 afu straika hebu watu waache mzaha
  10. Baba Jr

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    #ZidaneOut
  11. Baba Jr

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Zidane akipigwa El classico Kazi yake imeisha na najua chance ya kushinda hana maana amekuwa butu sana tactically
  12. Baba Jr

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Msimu huu kazi ipo
  13. Baba Jr

    Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

    Hii timu msimu huu tuna kazi
  14. Baba Jr

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    KTBFFH
  15. Baba Jr

    Jerry Muro: Lema alikuwa Rasta, kazi zake za usiku sijazisahau!

    Sikuwahi kutarajia huyu jamaa atakuwa wa Hovyo namna hiiii Aiseeeee
Back
Top Bottom