Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Tetesi
Kocha wa Misri Hector Cuper anadai kuwa Real Madrid wanammezea mate mshambuliaji wa Liverpool na Misri Mohamed Salah, 25. (ON Sport TV - Egypt, via Evening Standard)
 
Tetesi
Manchester United hawana mpango wa kulipa pauni miloni 100 kumnunua mshambuliaji wa Real Madrid na Wales Gareth Bale, 28 na badala yake wameweka thamani mchezaji huyo kuwa kati ya paunia milioni 50 na 60. (Sunday Mirror)
 
Madrid na Chelsea ndio walianza ujinga wa kusajili Kwa hela ndefu wacha ile kwao wananunua flops
 
Zidane akipigwa El classico Kazi yake imeisha na najua chance ya kushinda hana maana amekuwa butu sana tactically
 
Sioni uelekeo wa kupata chochote msimu huu. Timu inacheza hovyo sana na Zidane kama hana mbinu mbadala. Msimu wa usajili mdogo tupate strikers wawili wa ukweli ili kuwachangamsha waliopo.
 
Tetesi
Arsenal na Tottenham wana nia wa kumsaini Dani Ceballos. Mchezaji huyo wa kiungo cha kati mwenye umri wa miaka 21 hana furaha huko Real Madrid. (Calciomercato)
 
Tetesi
Arsenal na Tottenham wana nia wa kumsaini Dani Ceballos. Mchezaji huyo wa kiungo cha kati mwenye umri wa miaka 21 hana furaha huko Real Madrid. (Calciomercato)
Watuachie huyu dogo yupo njema kwa kweli.
 
Real Lazima wabadilike. Ronaldo Anahitajika kuwekwa bench. Na mwakani auzwe for better Player.
Hana mchango wowote kwenye game zaidi ya magoli. Nasasa hayo magoli yenyewe yamekua ishu, sasa sijui bado anafanya nini uwanjani.
 
Tetesi

Real Madrid watajaribu kumsaini kipa wa Bilbao Kepa Arrizabalaga, 23, na mshambuliaji wa Inter Milan Mauro Icardi, 24, mwezi Januari. (Marca)
 
Real Lazima wabadilike. Ronaldo Anahitajika kuwekwa bench. Na mwakani auzwe for better Player.
Hana mchango wowote kwenye game zaidi ya magoli. Nasasa hayo magoli yenyewe yamekua ishu, sasa sijui bado anafanya nini uwanjani.
Una chongo? Aliyefunga magoli muhimu kwenye back to back UCL ni Cr7, mpaka sasa kinara wa magoli UCL ni Cr7, sababu ya ukame wa la liga? Katazame assist anazo ngapi! Ninachokubaliana na wewe ni kubadilika kimchezo na kuletwa striker atakaye saidiana naye. Siyo kuuzwa. Muda wowote atawanyamazisha ninyi haters.
 
IMG-20171205-WA0013.jpg
 
Una chongo? Aliyefunga magoli muhimu kwenye back to back UCL ni Cr7, mpaka sasa kinara wa magoli UCL ni Cr7, sababu ya ukame wa la liga? Katazame assist anazo ngapi! Ninachokubaliana na wewe ni kubadilika kimchezo na kuletwa striker atakaye saidiana naye. Siyo kuuzwa. Muda wowote atawanyamazisha ninyi haters.
Sjui nani anachongo. Lagi inakaribia mechi ya 15 na Ronaldo ana magoli mawili. sasa bado unatafuta tatizo? Tatizo la real ni magoli. Nayeye ndo butu.
 
Msimu uliopita tulikuwa tunalalamika hakuna clean sheet. Msimu huu so far tuna clean sheet 10 lakini bado tunaning'inia 8 points behind. Kwa simple calculations tunastugle kwenye upachikaji wa mabao sio defense. Ronaldo na mwenzie Benzema wanatuangusha.
 
Exactly ilo ndio tatizo. BBC imekufa wanaendea majina tu. Bale anastraggle na injuries. Ronaldo na Benzema kiza kitupu. Na afadhali Benzema hata anapokua hafungi atleast anukua involve sana na team play. anasaidia sana kusogeza tim mbele nikiunganishi kizuri baina yake na midifild ni mzuri wakugonga mapasi. Big problem ni Ronaldo. Always hana zaidi ya magoli uwanjani. na magoli yanapokua hayapo kilobakia nini chengine.
 
Back
Top Bottom