jackline1
JF-Expert Member
- Oct 11, 2012
- 2,142
- 2,689
kwanini nikimbie,RM anajikokota-R Sterling kapotea mazimaNapenda ego uliyonayo, ningefurahi ungekuwepo humu tuongee baada ya December 23. Lakini nashangaa ukifungwa unakimbia.
kwanini nikimbie,RM anajikokota-R Sterling kapotea mazimaNapenda ego uliyonayo, ningefurahi ungekuwepo humu tuongee baada ya December 23. Lakini nashangaa ukifungwa unakimbia.
Ivi Yule mwenzako Sergio yuko wap maana nimemuulza swali ajanijibu mpka sasakwanini nikimbie,RM anajikokota-R Sterling kapotea mazima
Mshajijua xioIla ndo hivyo tujikongoje tu hakuna namna japo timu haina consistency.
Mshajijua xioIla ndo hivyo tujikongoje tu hakuna namna japo timu haina consistency.
Real Madrid wanalenga kumsajili beki wa Chelsea na Brazil David Luiz 30 ambaye hatakikani katika uwanja wa Stamford Bridge msimu huu. (Daily Mail)
Nilichokiona jana bado zidane ana kazi kubwa ya kufanya, haiwezekani kikosi kizima kimebadilishwa ila wanacheza vile vile kama kaka zao wa 1st team, mwanzo unaweza kudhani ni wachezeja wanazembea, ila ukiangalia kwa umakini mfumo wa sasa wa zidane ni wa hovyo kabisa, inabidi aanze upya kupanga timu itakayo leta tija kwenye mashambulizi na sio kutegemea wings na cross zao kutafuta ushindi.
Kwa kuwa tulifanikiwa miaka miwili iliyopita basi anaendeleza mfumo ule ule uliopatiwa dawa na wapinzani wetu. Zizou akibadili mfumo naamini kuna tija tutaanza ona.Mkuu umenena, tactically Zidane anatuangusha sana. Tunazoona sasa ni effort tu kwa vile ni Real Madrid lakini kiufundi tumekwama.
Kwa kuwa tulifanikiwa miaka miwili iliyopita basi anaendeleza mfumo ule ule uliopatiwa dawa na wapinzani wetu. Zizou akibadili mfumo naamini kuna tija tutaanza ona.
Cha kushangaza tuna wachezaji wa kumiliki mpira na kutoa pass fupi na ndefu kwa uhakika lakini jamaa anakomalia cross tu.!!Siku hizi wanaweka five defenders kwenye box, cross zote, corners na set pieces zikipigwa zinaishia huko huko hewani. Timu yetu inategemea sana headers lakini msimu huu tumebanwa. Zizou kweli anatakiwa abadilishe mbinu.
