Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Real Madrid (‎Los Blancos) | Special Thread

Zizou kafanya manyanga makubwa sana kuwaacha Morata na James bila replacement. Januari ndo hiyo Perez avunje kibubu akawachukue Kane na Pierre.
Muda BBC kuondoka na kuleta damu mpya hasa aubeyang au Keane,na beki 1 ya kat,tukisajili vzr jan naamini tunaweza kubadilika kwenye uefa lkn LA liga tunanusa vumbi tu
 
PSG watatuua

Duh!...Weeeh acha tuu ndugu, watatuua kweli na sio kufa tu bali nachokiona hiyo match ni kuzikwa kabisa na jeneza la magoli...."NATUFUNGWE TUUU MAANA HAMNA NAMNA NYINGINE SASA" Mmh! najiskia vibaya sana kwa kweli na nasikitika kuumaliza mwaka vibaya mbele ya macho yangu haya ya mwili, ILA NISEME TU NAOMBA TUKOSE MAKOMBE YOTE(mpaka Hivi sasa laliga tushaikosa na UEFA Hatuwezi chukua kwa dizaini hii tunayokwenda nayo) NA TUFUNGWE MECHI ZA KUTOSHA KISHA HUYU ZIDANE ATIMULIWE....MAANA UKITIZAMA YEYE NDO CHANZO CHA HAYA YOTE TUKIANZA KUISHIWA NA MBINU, PIA KUTOSAJILI KAMA ALIVYOMUELEZA PEREZ WASISAJILI HASA MBAPPE ETI KIKOSI CHETU KIPO NJEMA WAKATI HIVI SASA MADUDU WANAYOFANYA TUNAYAONA WENYEWE....MAANA ATA KAMA WACHEZAJI WAMECHOKA KWA MECHI NYINGI MSIMU ULIOPITA LAKINI KAMA ZIDANE ANGESAJILI TUNGEKUWA NA MIBADALA YA KUELEWEKA ILA YEYE KAZI NI KUMBEBA BENZEMA WAKE TU.
 
Duh!...Weeeh acha tuu ndugu, watatuua kweli na sio kufa tu bali nachokiona hiyo match ni kuzikwa kabisa na jeneza la magoli...."NATUFUNGWE TUUU MAANA HAMNA NAMNA NYINGINE SASA" Mmh! najiskia vibaya sana kwa kweli na nasikitika kuumaliza mwaka vibaya mbele ya macho yangu haya ya mwili, ILA NISEME TU NAOMBA TUKOSE MAKOMBE YOTE(mpaka Hivi sasa laliga tushaikosa na UEFA Hatuwezi chukua kwa dizaini hii tunayokwenda nayo) NA TUFUNGWE MECHI ZA KUTOSHA KISHA HUYU ZIDANE ATIMULIWE....MAANA UKITIZAMA YEYE NDO CHANZO CHA HAYA YOTE TUKIANZA KUISHIWA NA MBINU, PIA KUTOSAJILI KAMA ALIVYOMUELEZA PEREZ WASISAJILI HASA MBAPPE ETI KIKOSI CHETU KIPO NJEMA WAKATI HIVI SASA MADUDU WANAYOFANYA TUNAYAONA WENYEWE....MAANA ATA KAMA WACHEZAJI WAMECHOKA KWA MECHI NYINGI MSIMU ULIOPITA LAKINI KAMA ZIDANE ANGESAJILI TUNGEKUWA NA MIBADALA YA KUELEWEKA ILA YEYE KAZI NI KUMBEBA BENZEMA WAKE TU.
bado tuna imani na Zizu, tumefungwa ni sehem ya game unataka ushinde kla cku wewe ni nani? Hala Madrid
 
Sa hv kila television au jukwaa utalotembelea wanakuambia benzema ni jipu...sasa zidane haon au asikii
 
Vinicius Jr In Madrid

DRl0GDtWAAEcQzh.jpg
Salamander tupe stori karudijerudije huyu mjamaa
Au tupe picha zake wakati anatoka bernabeu
 
bado tuna imani na Zizu, tumefungwa ni sehem ya game unataka ushinde kla cku wewe ni nani? Hala Madrid


ninawasiwasi na upeo wako ndugu...unaposema tuna imani na zizu(Ni wewe pamoja na nani labda? weka wazi tafadhali)....wenye kujua mipira yao huko abroad wanakwambia ZIDANE ASIPOCHUKUA UEFA/UCL KIBARUA CHAKE KITAOTA NYASI MAANA LIGI KESHAPOTEZA TAYARI...watu wanaongea vitu serious wewe unaleta ushabiki wako na achivements which are already turned in to a history think twice friend...madrid hawanaga zile za kumuacha kocha anayefanya ujinga kisa kawaletea makombe kadhaa eti...tumeona kwa ancelotti upo msimu alichukua makombe matatu akiwa bernabeu kisha uliofuata akakosa ata moja AKATIMULIWA, Yani kwa hichi kilichotokea leo FAMILIA NZIMA YA WANAMADRID WA UKWELI(SIO WAKUCHOVYA) WANALALAMA NA HUYO ZIDANE WAKO PAMOJA NA BENZEMA WAKE...HUJIULIZI KWANIN LABDA?..



Screenshot (1).png

Screenshot (2).png
Screenshot (3).png


Screenshot (6).png
Screenshot (8).png


acha ushabiki wa kimahaba bhana...unaposema LAZIMA TUFUNGWE HATUWEZI SHINDA KILA SIKU...NI KWELI INAELEWEKA LAKINI NDO ISHASEMWA KUFUNGWA TENA BASIII HATUTAKI TENA...NA KAMA UNABISHA NGOJA HUYO ZIZOU APOTEZE UEFA UONE KITAKACHOTOKEA NA UJUE KABISA PSG SIO WA MCHEZO WALE...YANI TUMESHAFUNGWA HADI NA GIRONA(Timu ambayo kama sikosei ilivyokuwa ligi kuu msimu wa 2012/2013 cristiano alikuwa akiifunga goli hadi 4 mwenyewe)...alafu unasema kirahisi tu kufungwa lazima...huoni ni hatari hiyo ikiwa tumepoteza kwenye match za kwanza za msimu...Namimi nasema kutokufungwa inawezekana kwani barca hadi sasa wamewezaje kutopoteza hadi sisi tushindwe???, HIVYO BASI SEMA BADO NINA IMANI NA ZIZOU NA SIO TUNA IMANI NA ZIZOU ila ujue kabisa huyo zizou tayari keshaishiwa mbinu mbadala na asipobadilika ni tatizo kubwa!
 
Duh!...Weeeh acha tuu ndugu, watatuua kweli na sio kufa tu bali nachokiona hiyo match ni kuzikwa kabisa na jeneza la magoli...."NATUFUNGWE TUUU MAANA HAMNA NAMNA NYINGINE SASA" Mmh! najiskia vibaya sana kwa kweli na nasikitika kuumaliza mwaka vibaya mbele ya macho yangu haya ya mwili, ILA NISEME TU NAOMBA TUKOSE MAKOMBE YOTE(mpaka Hivi sasa laliga tushaikosa na UEFA Hatuwezi chukua kwa dizaini hii tunayokwenda nayo) NA TUFUNGWE MECHI ZA KUTOSHA KISHA HUYU ZIDANE ATIMULIWE....MAANA UKITIZAMA YEYE NDO CHANZO CHA HAYA YOTE TUKIANZA KUISHIWA NA MBINU, PIA KUTOSAJILI KAMA ALIVYOMUELEZA PEREZ WASISAJILI HASA MBAPPE ETI KIKOSI CHETU KIPO NJEMA WAKATI HIVI SASA MADUDU WANAYOFANYA TUNAYAONA WENYEWE....MAANA ATA KAMA WACHEZAJI WAMECHOKA KWA MECHI NYINGI MSIMU ULIOPITA LAKINI KAMA ZIDANE ANGESAJILI TUNGEKUWA NA MIBADALA YA KUELEWEKA ILA YEYE KAZI NI KUMBEBA BENZEMA WAKE TU.
..Zizo hawezi kufukuzwa msimu huu hata iweje.....Zizou amefanya makubwa sana Madrid.....Madrid imekuwa timu ya kwanza kuchukua UCL mara mbili mfululizo...hakuna timu yoyote iliyowahi kufanya hivyo....Madrid amecheza mechi nyingi mno wachezaji wengi wamechoka...Msimu huu hakuna komb lolote watakalochukua hata wenyewe wanajua hilo.....watakachofanya ni kujenga timu kwa msimu unaokuja....PSG wataitoa Madrid na Zizou hatafuzwa
 
Back
Top Bottom