Ziroseventytwo
Platinum Member
- Mar 27, 2011
- 9,153
- 17,014
Tukubaliane kutokubaliana kiwango chenu kimeshuka sana kama si kuporomoka. Mnatolewa jasho na timu inaburuza mkia!
YumoHvi Cr7 yupo kikosini?

Penaldoooo gooal penaltyYumo![]()
Hivi Malaga si wa mwisho kwenye ligi? Ndiyo wamewatoa jasho ? Ningejua ningekaa kuangalia.Mkuu, the beginning of the season tumekupiga nje ndani, kwahiyo we kaendelee na shughuli zako tu
Inabidi muache uzembe,si ushasikia Messi kajisajili upya hii habari mbaya hasa ukizingatia back line ya Barca ni zaidi ya ukuta wa BERLINTeam iache uzembe fuln aise ...hasa defences maana goli zao zimetokana na back pass ..kiasi tumejitahidi next stop ni atm bilbao. ..[HASHTAG]#halamadrid[/HASHTAG]
Hawajui kwamba Messi kasajiliwa upya-kibaya zaidi kuta la Berlin likiongozwa na Ter Stegen halimuachi mtu-total shutout,no sniff of goalHivi Malaga si wa mwisho kwenye ligi? Ndiyo wamewatoa jasho ? Ningejua ningekaa kuangalia.
Hivi Malaga si wa mwisho kwenye ligi? Ndiyo wamewatoa jasho ? Ningejua ningekaa kuangalia.
Inabidi muache uzembe,si ushasikia Messi kajisajili upya hii habari mbaya hasa ukizingatia back line ya Barca ni zaidi ya ukuta wa BERLIN
Hawajui kwamba Messi kasajiliwa upya-kibaya zaidi kuta la Berlin likiongozwa na Ter Stegen halimuachi mtu-total shutout,no sniff of goal
Nyie hii hali ya kustruggle hata na timu ndogo imekuwa ya kujirudiarudia sana.Mkuu napata wasiwasi na uelewa wako wa Football. Si juzi tu umetolewa jasho na Olimpiakos? Na umeshindwa ku-score, atleast we scored 3 times today.
Tactics Velverde kabadilisha baada ya hapo-tumewaiga style yenu ya ku grind out results-so far hatuna mpinzaniSijui unaongea nini, huo ukuta wa Berlin tushapiga mara mbili msimu huu huu. Si unakumbuka ulivyojipiga ban JF humu?
Nyie
Nyie hii hali ya kustruggle hata na timu ndogo imekuwa ya kujirudiarudia sana.
Tactics Velverde kabadilisha baada ya hapo-tumewaiga style yenu ya ku grind out results-so far hatuna mpinzani