Kwa jinsi mambo yanavyokwenda kimantiki tu inaonyesha ni kweli CDM ilishinda uchaguzi na kama kilishinda maana yake ni chama tawala hivyo kupata upinzani kwa vyama vingine vyote vikiongozwa na mpinzani mkuu yaani CCM.
kutibu ukimwi
Thursday, 03 March 2011
Daniel Mjema, Moshi
KWA takribani wiki moja sasa, mji wa Moshi na vitongoji vyake, umekuwa ukizizima kufuatia taarifa za kuwapo kwa mchungaji mstaafu anayetoa dawa zinazotibu magonjwa makuu manne ukiwamo ukimwi, kwa gharama za Sh500 tu.
Uchunguzi wa...
Vitu vingine ndugu yangu vimekaa kiimani zaidi usitake kuhoji kisansi kwa hiyo kama unaamini nenda na kama huamini baki. Sana sana ungehoji kwanini asitibu bure kabisa maana kaoteshwa na Mungu.
Kitu ambacho unashindwa kuelewa ni kwanini walitoka kwa wakati huo.Maana hatua ya wakati chadema wanatoka ilikuwa ni ya kuunga mkono hoja na kwa kuwa CCm ni wengi ukichanganya na CCM B ni wazi kuwa hoja lazima iungwe mkono kitu ambacho hawakuwa tayari na wao kuwa part ya wanaounga mkono ndio...
KAMA ULIVYO SEMA KIONGOZI MASWALI YAKO YA KIZUSHI, NA WEWE MWENYEWE MZUSHI
Upande wa ZNZ kuna mengi, kwanza ni dhana takatifu iliyojengeka kwamba wa ZNZ wanakandamizwa, binafsi yangu naona tena kuwepo kwa ZNZ ni kikwazo kimojawapo kwa CDM kushika utawala mapema, kuna irudisha nyumba CDM kwanza...
Nakataa kata kata kata kata......! kama kuna kukataa zaidi ya hivi nilivyo kataa basi nakuomba uniwekee hapo! Si kweli Kwamba Rostam ametutwisha taji la miiba ni uwongo usio mtakatifu, kwanza angali upumbavu wa WATZ huyu jamaa kwani ni mbunge voti maalumu? kama alichaguliwa sio kwa pesa zake...
Kwa mtazamo wangu, wapinzani kuungana au kuto kuungana kunaweza kusiwe na mantiki sana kwa wakati huu, ingwa kwa mimi ninavyo muona Mtatiro, angekuwepo Bungeni angaliweza kuleta changamoto ya namna yake pale kwani, hata kama alisha wahi kuchemka alipo kuwa chuoni lkn hii ni level nyingine...
Mi nafikiri swala sio kiwango cha pesa, bali tufanye nini hili ikibidi hata hicho kiwango cha 5000/- kiwe ni cha kusaza, maana ukiangalia kweli 5000/- haitoshelezi lakini swala si kudai nyongeza kila kuna kucha, na ndomana hawa wapo huko vyuoni!!! serikali imeshindwa kubuni mbinu mbadala hata wa...
Swahilian!!! umeiangalia Elimu kwa ufinyu sana na wale ambao tuna thubutu kuwa ita wasomi, kwanza, binafsi nawaona wanafunzi kuwa wabinafsi mno, kwahiyi kwa mantiki yako kila gharama za maisha zinapo panda basi na boom ipande? hivi unajua hilo ndilo linalo fanywa na serikali yako? kila mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.