Ernesto Che
JF-Expert Member
- Jan 7, 2011
- 1,114
- 293
Mtatiro anajaribu kuokoa jahazi linalozama kwa kasi kubwa, kumbe nani mwingine mwenye haiba japo kidogo pale CUF? Prof Safari kajiengua, Hamad rashid nazidi kushuka hadhi kwa uroho wa madaraka bungeni, Lipumbe si mtu wa propaganda; sas nani azue propaganda na kubwabwaja? Mtatiro you are in a sunken ship