afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,145
- 9,207
Pengine mwenzetu ni SEMENYA.
Euuuuhhh
SEMENYA tena..
Zote mbili utazitunzaje?
Pengine mwenzetu ni SEMENYA.
Ndo nini kuja kunisema huku kaka angu, wala nilikuwa sina mbaya kukupa hiyo namba, si unakumbuka tulisalimiana vizuri tu. Ukanionesha unapokaa na mi nikakuambia napo kaa? Sasa baada ya kuona sisi ni majirani ndo maana nikakupa hiyo namba. Dah mi nilijua ujirani ni mzuri tu na kuwasiliana kwa ishu za kijirani kwangu mm sio kosa.
Nisamehe sikujua kama litakupa shida namna hii. Pole sana kaka angu.Ifute tu, kumbe ndo maana huku ni beep?
Dah Nisamehe!!
Lakini nashukuru nimejifunza!!!
Sijasema nimechekewa nimesema nimepewa acha kuwa JEALOUS
Kenge wewe!!!!
Ok... Huyu demu ni jiran..na haya maeneo ninayokaa ni upanga huku majirani hawasalimiani.... Sasa huyu demu alikuwa chuo miaka 3 toka amerudi ana kama mwezi 1... Ndio maana
nikashangaa kusalimiwa na kupewa namba
Wana Jf kuna jirani yangu hapa
Mtaa wa maweni ni bomba sana,
midume karibu yote ina mmezea mate,na ni msomi ametoka chuo karibuni,
Asubuhi leo wakati naenda grocery nikakutana nae akanisalimia halafu
akaniambia chukua namba yangu, mpaka sasa hivi nina maswali kibao
Siamini kupewa namba na ninaomba
ushauri wenu hivi kupewa namba ya simu ni ishara ya nini?
pole sana ,hapo boflo kachemsha even though i think u were kind of interestin to him ld.ndo nini kuja kunisema huku kaka angu, wala nilikuwa sina mbaya kukupa hiyo namba, si unakumbuka tulisalimiana vizuri tu. Ukanionesha unapokaa na mi nikakuambia napo kaa? Sasa baada ya kuona sisi ni majirani ndo maana nikakupa hiyo namba. Dah mi nilijua ujirani ni mzuri tu na kuwasiliana kwa ishu za kijirani kwangu mm sio kosa.
Nisamehe sikujua kama litakupa shida namna hii. Pole sana kaka angu.ifute tu, kumbe ndo maana huku ni beep?
Dah nisamehe!!
Lakini nashukuru nimejifunza!!!
Wana Jf kuna jirani yangu hapa
Mtaa wa maweni ni bomba sana,
midume karibu yote ina mmezea mate,na ni msomi ametoka chuo karibuni,
Asubuhi leo wakati naenda grocery nikakutana nae akanisalimia halafu
akaniambia chukua namba yangu, mpaka sasa hivi nina maswali kibao
Siamini kupewa namba na ninaomba
ushauri wenu hivi kupewa namba ya simu ni ishara ya nini?
Wana Jf kuna jirani yangu hapa
Mtaa wa maweni ni bomba sana,
midume karibu yote ina mmezea mate,na ni msomi ametoka chuo karibuni,
Asubuhi leo wakati naenda grocery nikakutana nae akanisalimia halafu
akaniambia chukua namba yangu, mpaka sasa hivi nina maswali kibao
Siamini kupewa namba na ninaomba
ushauri wenu hivi kupewa namba ya simu ni ishara ya nini?