Sabodo aichangia CHADEMA milioni mia moja

Sabodo aichangia CHADEMA milioni mia moja

Mkuu dubo, this is too low, to you inavyoonyesha ukimuona muhindi basi unajua ni fisadi, which is absolutely not the case. Fisadi is just a fisadi.

Kwa Taarifa yako Sabodo anaweza kuwa more patriotic pamoja na rangi yake kuliko wewe.
 
Kwa taarifa yenu Sabodo huyuhuyu ndie alieibua ile list of shame ya wahindi wenzie hapa JF..
 
sabodo hutoa misaada ya fedha kwa chama chochote ili mradi kiwe na sera nzuri
 
Pumba tupu, mbona hata Chama Cha Mafisadi (CCM) mbona walipewa kama m 100 na huyu huyu muhindi, huo ni unazi usio na mueleke😵ndoa hii thread invisible.
 
kuelekea uchaguzi kuna mijitu inajoin jf
na kuanza kupost thread za kijinga kama hii
 
You are new here...njuka :becky::becky:

Mkuu huyu njuka katumwa hapa kutuchafua tu. Kila thread yake anayoanzisha ni kituko tu!! tukizifukua zote tangu ajiunge juzi ni kichekesho. Enzi zetu njuka walikuwa na majina kibao kama protozoa, virus, backteria, mijusi, kuku mgeni, ndama, minyooo, yaani kila shule ilikuwa na staili yake. Sasa huyu dubo sijui tumwite nani?

 
Inawezekana ana toa pesa kwa nia njema,lakini vilevile anajitengenezea mazingira mazuri ya hapo baade JUST INCASE CHADEMA wakachukua nchi.
 
Hili ni zuri na bora liwe hivyo tu mchango without any preconditions.. usije kugeuka kuwa mkopo. Wakajikuta anayechangia zaidi ndiye mwenye sauti zaidi kama "fulani"... good job!

MMKJ,
Kwa vile huyu kachangia hadharani sidhani kama ataweza kuthubutu kuweka conditions....fulani anachangia kwa kificho hivo akuweka conditions...
 
CCM wanatapatapa!! kwani wenyewe hawapokei fedha kutoka kwa wafadhili. kila mkoa wafanyabiashara wakihindi huwa ni wafadhili wakubwa wa CCM kwenye shughuli zao.
 
Muwe mnaweka pia na vyanzo vyoote vya mapato kwa vyama vyote haswa ccm ili tuchangie vizuri..
btw picha haionekani..
 
HIzi za sabodo zilikuwa zinapitia mgongoni mwa mtu toka nje
No research no right to speak.Kwanini unataka kulazimisha assumptions kuwa facts?Umeandika mwenyewe kuwa "inawezekana",implying huna hakika...na pia iinachowezekana kinaweza pia kuwa hakiwezekani...lakini wakati huohuo unakurupuka kudai huu ndio ushahidi.

Mmerogwa na nani hadi kuwa vibaraka wa mafisadi?
 
Kama ndo njia iyo ni vema na haki,wala hamna wasiwasi wa kupata hela iyo,na cdm ikipata bahati ya kupata watu100 wa muundo huo,tutashukuru sana,ila Sabodo si balozi,tunataka sofia na membe wawataje wanaofadhili ili kuipindua nchi ili tuwalaani. Ila kama ni ufadhili halali basi membe na sofia watakoma kuwa na midomo mirefu,subiri uone. Alichokisema sofia kinaweza kumuumbua,maana hamna nchi inayokubali kuandaa mapinduzi haramu na Money Loundering(ML) haikubaliki! Anapaswa akabwe na kesi ya madai na nashauri adaiwe iyo iyo bil20 aliyoitaja sofi,hakome!
 
km za sabado zina pitia mgongoni kutoka nje basi sofia simba itabidi amtaje huyo mtu wa nje pia ataje uhusiano uliopo kati ya huyo mtu ,sabado na chadema coz km alikuwa anampa sabado kwa matumizi yake binafsi na sabado aliamua kukichangia chadema nazani sophia simba bado yupo kikaangoni. namuonea huruma huyu bibi kwa kuropoka ropoka.
 
Itakuitaji muda mrefu kufikiria na kuconnect dots membe na sofia wanachosema kina ukweli ndani yake. inawezekana wahisani wa nje wanapitia migongo ya wengine kusponsar vyama, na inawezekani hii imeanza muda mrefu.

Mzee Sabodo amekuwa akimwaga hela kwa CDM kwa muda mrefu na mara nyingi. Je wahisani wamepitia kwa sabodo kuipa nguvu cdm?

Naweza kusema hii ni moja wapo ya ushahidi wa cdm kupokea mkwanja toka nje


DSC09389.JPG


:msela::msela:
Kwa hiyo inawezekana hata mfuko wa mama Salima Kikwete uliosaidiwa na Sabodo ni kutoka nje?
 
Back
Top Bottom