Recent content by b da best

  1. B

    Wekeza katika miti ya mbao uwe milionea kwa muda mfupi

    Naomba tuwasiliane kwa namba hizi 0654681516, 0756784485
  2. B

    Wekeza katika miti ya mbao uwe milionea kwa muda mfupi

    Mashamba yana patikana kwa range sh. Ngap ngap?
  3. B

    Kwa mtaji wa Shilingi laki moja hadi laki tisa (100,000 - 900,000) unaweza kufanya biashara gani?

    Mi too nimependa mjadala huu naomba kushare na nyinyi few idea kwa group.. My #0654681516
  4. B

    Nyumba mpya ya Ally Kiba yadaiwa kufunika ya Diamond

    We ulituma thread lini nasi tutajadili mafanikio yako, Amka mtanzania..
  5. B

    Masanja awa mbele ya Jaydee na Profesa Jay kwa Utajiri Tanzania

    Masanja aendelee hivo hivo coz najua Mungu nae Ana sense of humor so Kama amkufuru kwa comedy bas najua na Mungu atakuwa anafurahi pia kwa jinsi Masanja anavyo tumia kipajo cha kulitukuza jina lake hail Masanja. Piga kazi bro n don't forget to make more money.
  6. B

    Wananamziki Walio 'Hit' Kimagumashi

    Mtakaa kujadili mafanikio ya watu yakwenu hamyaoni na hatuyasikii.. Fanya kazi ujadiliwe ww
  7. B

    Miezi miwili ya mahusiano tayari anataka tufanye ngono, huyu ni wa future kweli?

    Ivi kipi kibaya kati ya mtu kuto ridhika akiwa ndoani na kuchepuka au kutoridhika akiwa kwenye mahusiano na kwenda kutafuta mwingine ambae si ajabu wataridhishana na wakaoana kwa furaha zote. Let's be realistic tusisongwe na maandiko ya vitabu au dini zetu. Tufikilie kwa kina.
  8. B

    Je! Ni kweli kwamba jeshi la polisi limeruhusu mihadhara pale Manzese?

    Nyinyi nyote sasa ndo makafiri, maana nashangaa mnavo gombania hizi dini za wenzetu. Ambazo sifa na misingi yake ni kulainisha roho za waafrika, na kuwatawala kirahisi. Dini safi hii hapa, Mpende kila mtu, msaidie masikini na asiyejiweza, heshimu kila mtu hata mtoto mdogo, mpende Mungu Sana kwa...
  9. B

    Sababu Zinazomfanya Reginald Mengi Achukiwe Na Vigogo Wa Serikali Ya CCM Ni Hizi Hapa

    Ama kweli ule usemi kuwa maskini wanaweza wasiende mbinguni naona unafanyiwa kazi maana wao ndo kila kukixha wanawaza kuwasema wenzao, wakati matajiri hata hawazi hivyo ye ni wapi nitapata pesa, wap nikapumzike, wapi nikawasomeshe wanangu, mke namna gani nitaoa nk. Lkn masikini ndo huu upuuzi...
  10. B

    Dida : Nigombee bwana kwani wanaume wameisha?

    Ni Yale maupuuzi ni yajuayo.
  11. B

    Its all about soul mate

    This is shit maan mtu anasema eti accepting herslf na bunch of brah brah kibao wakati anajua kabisa ni maneno ya kujifariji tu.. Let's be realistic jaman maisha ya kucopy kutoka kwa watu haya mmh, haya Mrs substance endelea kusubiri Kama utampata huyo Mr substance Kama atakuja..
  12. B

    Vodacom na Tigo wanachangia kuua noti ya Shilingi 500

    Sina hakika na hilo tusubiri wadau wengine.
  13. B

    Mwana FA, Umepiga hatua 4 mbele umerudi 8 nyuma, Disapointing

    Tusiongozwe na ushabiki APA tangy nimeanza kusoma comment za watu nimegundua kuna pande mbili zinakinzana hapa, kwanza kuna ukiba na diamond humu. Jaman Hawa watu wote ni wazuri kila mmoja kwa nafasi yake. Speaking ya song ya FA mi huyu jamaa sijawahi kumchukia wala kuona akifanya kazi mbaya...
Back
Top Bottom