Recent content by AVRAM

  1. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Sifa za makabila mbalimbali hapa Tanzania

    @Bata batani nimekuelewa vizuri sana.
  2. AVRAM

    JamiiForums Tanzania 50 Cent, Ghetto Economics na Muziki wa Rap - 1

    Nukta
  3. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Sisi vijana wa Kusini mwa jangwa la Sahara tuwe na nidhamu (self discipline) kwenye maisha

    East Africa Community, najaribu kuotea tuu, na kama ndivyo kulingana na hadhi na kiasi cha mishahara ya taasisi ile sishangai kwako kuzipotezea ndoto na mipango yako na kutujumuisha vijana wa kaskazini mwa jangwa la sahara kuwa hatuna adabu na nidhamu katika maisha na eti ndio sababu hupotea...
  4. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Ni course gani naweza kusomaa kwa matokeo haya?

    Dogo kafanye BSc. Economics. wala usihangaike kujitutumua kwenye mambo ya Afya ama engineer, fanya iyo kitu na jitahidi kufaulu vyema, na ukipata nafasi wakati unasoma hii course changanganya na optuonal course za finance na investments kutegemea na nafasi ya muda pamoja na chuo unachosoma...
  5. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Hizi ni Series ambazo zimenishinda kabisa

    Katika kila series utakuta kuna mambi flani ya kitoto ila nyengine zimezidi
  6. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Soko la Kariakoo lateketea kwa moto

    Kiongozi uzi unahusu moto kariakoo hawa uamsho wanabusika vipi? Acha uzandiki na sarakasi za bandia.
  7. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Bamileke: Kabila la Cameroon linalopingwa nakuogopwa na makabila mengine; ndio hao wanataka Cameroon ijitenge

    Watanganyika mumeharibu uzi, baana ya kuwa tumepata taarifa mumeweka na dhana ya ukabila humu
  8. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Ushauri kwa Balozi Mulamula: Mkitaka Tanzania ifaidike na Diaspora suala la uraia pacha haliepukiki

    Uzalendo ni hoja ovu ya kisiasa inayolenga kudunisha mawazo changamano ya ukuzaji uchumi wa Tanzania kupitia Wanadiaspora wake. Wanasiasa ndio wahuni wanaotisha na kuogofya wananchi kuhusu Hoja ya kuanzisha uraia pacha Tanzania na wala sio wananchi wanaohofu uwepo wa uraia pacha Tanzania.
  9. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Nina wazo la kipekee sana litakaloanza hivi karibuni ila nina hofu kubwa sana

    Premature Business Idea - PBI. TAFADHALI CHUKUA HATUA vyenginevyo utawadha na hatimae kufa na Ideas zako bure bure bila ya jata kuwafaidisha wapendwa na maadui zako
  10. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    ....
  11. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Mikasa ya ajabu niliyoishuhudia kwa macho yangu

    ...
  12. AVRAM

    JamiiForums Tanzania Shaka amvaa Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar; "Haiwezekani unahoji leo ushindi wa CCM ukiwa sehemu ya Serikali unahudumiwa kwa kila kitu''

    Shaka Sent from my SM-G5510 using JamiiForums mobile app
  13. AVRAM

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ana Mimba yangu, ila nimeoa na sitaki mtoto nje ya ndoa

    Unakufuru kiongozi, yaani unataka uuwe kiumbe kinachotayarishwa na Mungu kuja duniani. Unapaswa kujiuliza wewe ni nani. Unaeweza kuingilia Mipango ya Mungu kugharibi anachokileta duniani. Huyu baby anaekuja ana nafasi yake hujui atakuwa na atakuja na nini. TAFAKARI.... CHUKUA HATUA Sent from...
  14. AVRAM

    JamiiForums Tanzania 'Street codes' za kukusaidia uishi vizuri na watu mtaani kwako katika mji wowote Tanzania

    Mkakati wa kuwa na vijana nauaminia 100%
Back
Top Bottom