Bamileke: Kabila la Cameroon linalopingwa nakuogopwa na makabila mengine; ndio hao wanataka Cameroon ijitenge

Sasa wewe muongo. Tusibisha please
Mkuu utabisha lakini naweza kukwambia asilimia 80 ya Wacameroon walioishi TZ toka mwaka 2010 nawafahamu, hata sherehe zao nimeudhuria sana. Na wana chama chao wana raisi na mweka hazina. Uwa wanakutana kucheza mpira kule mbezi. Wanakuja wanaondoka wengine wako France, wachache wamerudi, ni watu ambao wanahama hama tu nchi. Huyu nayekwambia kawa raisi wao kwa muda mrefu ingawa sasa si raisi tena yupo hhapa tanzania toka mwaka 2003. Lakini mcameroon anayetambulika kama alitangulia kufika hapa na wanamheshimu wengine kama mzee wao anaitwa Papa yusuph na wapambe wake walikuwa akina Papa Msofe kabla hawajashika pesa.
 
Mzee wa Google 😂😂😂👌🏿
Hakuna cha kugoogle maana mimi ni marafiki zangu toka nasoma chuo. Tena wanapokuwa hapa Tz wana umoja haijalishi wanatokea sehemu wanakozungumza kingereza au Kifaransa japo bado wanaozungumza kifaransa bado wanadharau hao wanaozungumza kingereza kwa kusema hawajasoma na hawako civilized. Na mbaya zaidi kwa sasa kwa Wacameroon walioko TZ hao wanaozungumza kingereza kwa sasa ndiyo wana pesa na raisi wao wa chama anatokea kati yao.
 
Mzuka wanajamvi!

Hii dhana ya eti Cameroon majimbo mawili yanayoongea kiingereza North West na South West kujitenga kwasababu ya uonevu inasukumwa sana na Bambekee (Bamilekee).

Bambekee ni semi Bantuskabila maarufu sana Cameroon lenye maendeleo na elimu na pesa. Kwa kifupi ni matajari kama wachaga Tanzania na wakikuyu Kenya. Wanachokosa tu ni madaraka.

Cameroon ina makabila 240 yaliyogawanyika katika makundi matatu Bantus, Semi Bantus, Pygmies na Sudanese (Nitaleta uzi wa hizi kabila siku nyingine).

Cha kushangaza hawa Bambekee asili yao ni majimbo ya yanayoongea kifaransa ila walihamia kwa wingi katika majimbo mawili yanayoongea kiingereza ambalo moja limepakana na Nigeria South West lenye utajiri mkubwa wa mafuta.

Lakini makabila madogo asili ya haya majimbo ya Anglo phone yanayoongea kiingereza hawana shida ya kubaki Cameroun. Ila Bambekee wanawasukuma sana.

Bambekee wana nguvu sana na elimu. Wanajipenda sana na niwafanyabiashara. Wanapenda lugha yao sana na wanapenda kuoana wenyewe kwa wenyewe. Makabila mengine yote Cameroon wanawaogopa na wameapa kamwe hawatashikia madaraka.

Bambekee hata masokoni na kwenye maduka yao wako kivyaovyao na mda wote wanaongea lugha yao ambayo wanaipenda na kuithamini sana. Wengi wa Cameroon Diaspora ni Bambekee.

Bambekee wanamchukia sana Paul Biya. Paul Biya ni kabila la Fung jimbo la kusini mwa Cameroon South Province. Cha kushangaza akina Omar na Ally Bongo wa Gabon ni kabila moja na Paul Biya pia cha kushangaza zaidi Rais wa equatorial Guinea Teodoro Obiang ni kabila moja na Paul Biya ni mipaka tu imewatenga ambapo equatorial guinea ilikuwa koloni la Hispania.

Marekani, Uingereza pamoja na Ufaransa (kichinichini) wanawasupport Bambekee kuleta sintofahamu camerroon. Utashangaa kwanini Ufaransa naye kichinichini anawasupport Bambekee ni kwasababu wameshakosana na Paul Biya.

Makabila mengine Cameroon wanakubali ndio Paul Biya ni dikteta lakini wako radhi aendelee kutawala tu kuliko Bambekee washike madaraka.

Kwenye mpira Bambekee hawapo wengi sana ni Jeremy Njitap tu. Kabila la Bassa ndio wachezaji mpira ni wengi kama etoo Rodger milla na Rigobert Song.

Bambekee ndio tatizo kubwa la kutaka anglophone kujitenga wakisaidiwa na Marekani, Uingereza na Ufaransa ambaye anang'ata na kupuliza. Lakini siyo Wenyeji asili wa hayo majimbo yanayoongea kiingereza.

Source wa Cameroon

Senior JF international political correspondent and analysts
Bambekeee, hongera zao
 
k

kabsa mai kany
Kuna mtu aliniprovoke jana ni wa kanda ya ziwa aisee. Sikujua exactly wapi ila alinikumbuka tu kuna mitaa aliwahi niona. Anaanza niattack kwa ukabila, wew esi mchagga vile eh? Mna roho mbaya sana nyie.roho ya kishetani. Sijui mtu alikua akifungua genge hapati wateja ila huo mtaa wamekuja wakinga wamewanyoosha wachagga. Imagine kumuattack mtu wala simjuagi . Kwa dharau zangu sikudeal nae tena. Later ananionba namba eti blah blah. Nikamwambia baki na umaskini wako. Mpaka nahisi ana I.d humu
 
Kuna mtu aliniprovoke jana ni wa kanda ya ziwa aisee. Sikujua exactly wapi ila alinikumbuka tu kuna mitaa aliwahi niona. Anaanza niattack kwa ukabila, wew esi mchagga vile eh? Mna roho mbaya sana nyie.roho ya kishetani. Sijui mtu alikua akifungua genge hapati wateja ila huo mtaa wamekuja wakinga wamewanyoosha wachagga. Imagine kumuattack mtu wala simjuagi . Kwa dharau zangu sikudeal nae tena. Later ananionba namba eti blah blah. Nikamwambia baki na umaskini wako. Mpaka nahisi ana I.d humu
mimi uko uko kanda ya ziwa nlipata shida kuna jamaa yangu nlimsikia anasema behind my back eti "acha lifilisike haya majamaa majizi sana" nyerere mwenyewe aliacha wosia mchaga asije kua rais 🤣 🤣 🤣
 
Watanganyika mumeharibu uzi, baana ya kuwa tumepata taarifa mumeweka na dhana ya ukabila humu
 
Back
Top Bottom