Usilazimishe utakavyo ukaskazini ndio cdm kaa tafakari hotuba ya mbunge mmoja alioitoa huko kaskazini.aliposema kaskazini kuna kila kitu hata ikibidi mjitenge mnaweza kuishi
Matusi na kejeli hayasaidii jaribuni kufuatilia kwa undani.kuweni wastaarabu.halafu waislam hawana masinagogi ache I ufala.nawajua washkaji kibao wakristo tena wanasali pale kinondoni.isitoshe hata baniani wapo wadhungu mnaowapenda ndio kibao wafilipino kibao.tatizo mnaogopa kivuli
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.