Ushoga: Benki ya Dunia yasitisha mkopo kwa Uganda

Huu upumbavu wa kuwafunga watu maisha just because they are gay lazima ukomeshwe,kata misaada,ban visa weka na vikwazo hawa waafrica wajinga walale njaa...lazima mkubali la sivyo yo ll goin to suffer.

mkuu vipi watu wanagonga ngozi nini.......
 
sasa kama uganda wamegoma kuoana jinsia moja wananyimwa pesa......sisi Watanzania bado tunaendele kula pesa za benki ya dunia kama kawa......Hii inamaanisha nn kwa nnchi yetu.....????
 
When it worked to their advantage, the British legislated against gays in Uganda and other African countries. Now that Ugandans democratically did the same for their society interests, the British are up in arms against what they originally stood for. It is never what they say!. Tomorrow expect them on rights for one to marry a Dog! Just because some white fellows like it never makes it right!.
 
When slavery worked in the advantage of all slave owners/whites/population in the US, a brave man called Abraham Lincoln stood up to congress,the senate and declared the black man equal! Think about it... He did not have to do it...

When it worked to their advantage, the British legislated against gays in Uganda and other African countries. Now that Ugandans democratically did the same for their society interests, the British are up in arms against what they originally stood for. It is never what they say!. Tomorrow expect them on rights for one to marry a Dog! Just because some white fellows like it never makes it right!.
 
Serikali ya Tanzania haina hela za kuwalipa wafanyakazi wake. Kwahyo inamaanisha kwamba???

Sent from my Nokia Lumia using Tapatalk
 
sidhani kama USA/UK au nchi yeyote imelazimisha watu kuwa MASHOGA. Lakini kama mtu ni SHOGA au ameamua kuwa SHOGA aachwe aishi atakavyo na sio mumpangie au mumuue au kumfunga kwa sababu AMEAMUA kuwa shoga.

Huo ndio msimamo wao na haki za binadamu. Mimi binafsi sipendi USHOGA/MASHOGA lakini mtu akiamua kuwa shoga hainihusu afanye ushoga wake hayo ni maisha yake.wanachopinga USA na wenzao ni PERSECUTION dhidi ya mashoga,waacheni waishi watakavyo.

Kwa vinchi nchi vyetu hivi ambavyo hata demokrasia ya vyama vingi vimekubali kwa kutishiwa kutopewa misaada habari kama hiyo unayoisema wewe ni kazi kuikubali.

Nchi zinajidai zinafuata demokrasia na haki za binadamu halafu hapo hapo zinaminya haki za hawa mashoga.

Hizi habari za kupinga ushoga ndizo zinawapa nguvu zaidi, wanapata "victimhood status".

Wangewaacha tu wafanye wanavyotaka in private, piga marufuku any public display of affection that is not in accordance with "African traditions", whether iwe gay or straight (that includes straight couples kissing in public and gay parades) lakini waachie watu wafanye wanavyotaka in private.
 
Tunaweza kuwa na fikra tofauti kuhusu hili swala, lakini sheria za kikatili namna hii sio njia sahihi ya kudeal na haya mambo, hawajakosea IMF, mashirika ya kimataifa sio rahisi kusupport serikali inayofanya ukatili namna hii.
Tena hii ni siasa tu kwa Museven, msidanganywe kirahisi hivyo na wanasiasa.
 
bongo vipi maana kila kitu huku ni IMF kuanzia barabara, visima ,madaraja ina maana ss tumekubali kulana midume kwa midume au mijike kwa mijike...daaaaaah hichi kimya cha bongo kina nitisha sana.......maana kwa waislamu ukienda kuposa mwanamke then mwanamke ataulizwa kame amekubali au la....akiitika ndio au akikaa kimya inamaanisha amekubali......Sasa kwa hii ishu ya ndoa za jinsia moja TZ imekaa kimya kumaanisha kwamba imekubali...
ndo hivo ndugu, kuna mwanazuoni mmoja alisema "if you stay neutral in a situation of injustice, you have choosen the side of an oppressor". kwa kukaa kimya kwetu, tumeshachagua kuunga mkono ushoga.
 
666 on work. Ndio muda wa mateso huu either ukabali ushetani au uukatae upate shida. Hata enzi za Abrahaam it was matter of choice .
 
Kwa vinchi nchi vyetu hivi ambavyo hata demokrasia ya vyama vingi vimekubali kwa kutishiwa kutopewa misaada habari kama hiyo unayoisema wewe ni kazi kuikubali.

Nchi zinajidai zinafuata demokrasia na haki za binadamu halafu hapo hapo zinaminya haki za hawa mashoga.

Hizi habari za kupinga ushoga ndizo zinawapa nguvu zaidi, wanapata "victimhood status".

Wangewaacha tu wafanye wanavyotaka in private, piga marufuku any public display of affection that is not in accordance with "African traditions", whether iwe gay or straight (that includes straight couples kissing in public and gay parades) lakini waachie watu wafanye wanavyotaka in private.
Kiranga mbona unarudi mule mule, unadhani hiyo sheria waloiweka maana yake nin! kwan mtu atakamatwa bila kuonesha mambo hayo hadharani? hawawez kukamata watu bila wao kujidhihirisha kuwa ni mashoga..

wale wataofanya kwa kificho wataendelea tu, lakin mataifa ya ulaya wanataka uwaache wakiss hadharan, mapadri na mashehe wafungishe ndoa zao, ili kuwafundisha hata watoto wadogo wajue ushoga na ikibidi nao wafuate mlengo huo huo.
 
Last edited by a moderator:
Jaman kwa nin watu weupe wanatuburuza kiasi hichi? Mim nazan wanapima uwezo we2 na si kingne... Kweli jaman swala la ushoga ni la kulazmisha likubaliwe na nchi ambayo ipo huru? Kama kuharibu tamaduni zetu wameshaharibu lakn 'USHOGA' Hapanaa.... Kama kufa na 2fe lakin ndoa ya jinsia moja c maadili mema kwa African People. Kip It Up M7.
 
mbona unarudi mule mule, unadhani hiyo sheria waloiweka maana yake nin! kwan mtu atakamatwa bila kuonesha mambo hayo hadharani? hawawez kukamata watu bila wao kujidhihirisha kuwa ni mashoga..

Ni wapi hiyo sheria inasema ni marufuku kuonyesha mambo ya kishoga hadharani lakini rukhsa ukiwa ndani ya nyumba yako?
 
Back
Top Bottom