avogadro78
Member
- Feb 13, 2014
- 76
- 9
Matusi na kejeli hayasaidii jaribuni kufuatilia kwa undani.kuweni wastaarabu.halafu waislam hawana masinagogi ache I ufala.nawajua washkaji kibao wakristo tena wanasali pale kinondoni.isitoshe hata baniani wapo wadhungu mnaowapenda ndio kibao wafilipino kibao.tatizo mnaogopa kivuli