Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Status
Not open for further replies.
Nyie mnaosema mnaushahidi wa kujitosheleza nivyema Kuwa waungwana nendeni polisi na huo ushahidi/vielelezo we nu acheni mbwembwe na kelele zenu za vyura zisizoweza mzuia.tembo kunywa maji
 
Hivi kunani huko ARUSHA? CHADEMA wanaipeleka wapi ARUSHA?

Mwili sehemu nyingi zakutolea hewana uchafu piakuingizia hewana lishejapo wewendugu yanguunatumia liletundu la chinikwaajili yalishe NA siokaziyake funguka badilisha uleviisafi
 
Mhusika mkuu ni huyo katibu wa bavicha tawi la unga na mlinzi wa makao makuu cdm arusha mjini

Maneno yako haya watakutrace alaf utaanza kulialia tuuuu... we lete uchama kwenye mambo ya msingi.
 
Matukio kama haya yananipa huzuni sana. Hayakuwepo Arusha kabla.
 
kama mnavocomment yanapotokea zanzibar kwa wakristo hawatakiwi zanzibar,...je tuamini kwamba waislamu hawatakiwi arusha? Kama jibu siyo basi sote na tuamini kwamba haya ni matashi ya watu na si kitu kinachohusiana na dini...

umesema kwa niaba ya moyo wangu
 
Mwili sehemu nyingi zakutolea hewana uchafu piakuingizia hewana lishejapo wewendugu yanguunatumia liletundu la chinikwaajili yalishe NA siokaziyake funguka badilisha uleviisafi

Oh! My God! Nisaidie kusoma ulívyo andika tafdhal.
 
Kama mnavocomment yanapotokea Zanzibar kwa wakristo hawatakiwi Zanzibar,...je tuamini kwamba waislamu hawatakiwi Arusha? kama jibu siyo basi sote na tuamini kwamba haya ni matashi ya watu na si kitu kinachohusiana na Dini...
Ni kweli kaka, sio waislamu wote ni magaidi, lkn magaidiwote ni waislam
 
Serikali hususan watu wa usalama wa taifa inabidi watambua kuna kikundi cha watu pale Arusha ambao wamejificha chini ya mwamvuli wa dini ambao wamekua wanaendesha vitendo vya kigaidi kwa kisingizio cha dini.Inasadikika watu hawa tayari wameshapeleka vijana wao kujiunga na al shabaab kule Somalia na mojawapo ya shughuli za kiwaingizi kipato ni kusafirisna wahamiaji haramu kutoka Somalia
 
Hivi kunani huko ARUSHA? CHADEMA wanaipeleka wapi ARUSHA?

Siku mimba yako inatungwa baba yako atakuwa alikuwa amekula ugoro mwingi mno na mama yako alikunywa gongo hadi kuwa bwiii! ndio maana hadi leo akili zako ni Bangi+Gongo.
 
hivi visa vya kumwagiana tindikali cjui kwanini vimeshamiri sana tena kama vinapokezana vile kimoja baada ya kingine.
 
Mijitu mingine kama mizezeta maneno yao wanayoandika.humu ni ovyo mmoja kasema kibao kimewageukia'
 
Kama mnavocomment yanapotokea Zanzibar kwa wakristo hawatakiwi Zanzibar,...je tuamini kwamba waislamu hawatakiwi Arusha? kama jibu siyo basi sote na tuamini kwamba haya ni matashi ya watu na si kitu kinachohusiana na Dini...
Well said
 
Siku mimba yako inatungwa baba yako atakuwa alikuwa amekula ugoro mwingi mno na mama yako alikunywa gongo hadi kuwa bwiii! ndio maana hadi leo akili zako ni Bangi+Gongo.
Bangi na gongo ni sifa ya chadema if am not wrong...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom