Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Enzi za ujahilia, CHADEMA nilipotea

Kujadili cdm ni kupoteza muda maana inajulikana wazi kuwa ni special for kaskazini.mkumbukeni chacha wangwe
 
Matokeo ya kata zipi? una maanisha shule za kata za Lowassa na Kikwete au kata za uchaguzi?
kama ni kata zilizofanya uchaguzi ni kwamba hakukuwa na mshindi,maana ccm wamewanyang'anya cdm kata muhimu ya Nyasura Bunda ilhali cdm nao wakawanyang'anya ccm kata muhimu sana ya Sombetini(hapa lazima ukubali kuwa lema ni genious wa siasa) na nyingine ya Njombe mjini.Au NCCR kuchukua kata iliyokuwa ya chadema Kigoma kwa prezidaa ni sawa na ccm?
kweli wewe ni mfuasi wa rat killer!!

mkuu acha kupindisha maneno - nazungumzia zile kata 3 chopa 3, nadhani sasa utakuwa umekumbuka baada ya kujitoa ufahamu!
na mbona hizo hadithi za 'mnyang'anyo' hazina uwiano kabisa - kwa nn isiwe nusu kwa nusu, kunyang'anyana gani huko unaambulia 3 mwenzio anazoa 27?!
alafu kama lema ni genious wa siasa tungemjua alipokuwa TLP badala ya kudandia CHADEMA ambayo kwa moshi & arusha ndo ngome kuu (nilimpigia ndesa kura moshi 2010)!!
 
ama kwel ukipenda kipofu utaita chongo....yaani umewekewa hadi picha ya 'aliyekuwa' kamanda lakini bado unabaki kusema alikuwa gamba?!
by the way hata mada za Njano5 za mwanzoni zinathibitisha hivyo, sumbua kichwa kdg usikariri tu kama kasuku!!

Labda awaulize watu JIMBO la ubungo,,,huenda atapata jibu lake....NA BADO.
 
kwaiyo unahisi umetua mzigo? unaburudisha tu kijiwe cha kahawa,ila CDM yatosha!
 
Ulichoandika kinadhalilisha sana jamii yako..kwa kaili yako unadhani umetumia misamiati mizuri sana, ktk ujinga huu. Sijui lini mtakuwa na akili muondoa hizi akili za kigaidi...
 
km ujahilia kk maisha yako na jamii yenu ni karne hii ambayo hata CDM wapo hai ni wazi..mnayo shida sana.
 
Usilazimishe utakavyo ukaskazini ndio cdm kaa tafakari hotuba ya mbunge mmoja alioitoa huko kaskazini.aliposema kaskazini kuna kila kitu hata ikibidi mjitenge mnaweza kuishi
 
Back
Top Bottom