Recent content by atutu

  1. atutu

    Jinsi ya kutumia ajira portal msaada unaitajika

    Ukishajaza Kama umefikia asilimia wanazozitaka unatumiwa email
  2. atutu

    Nawezaje kuanzisha kilimo kwenye kichanga (sandy)

    Hongera kwa kupata eneo kwaajili ya kilimo ngoja waje wanaojua wakusaidie ushauri
  3. atutu

    Tecno W4

    Bado ipo iyo simu?
  4. atutu

    Hivi zile 'couple' za vyuoni huwa zinaishia wapi?

    Zinaishia nnje ya geti la chuo
  5. atutu

    Mrejesho hatua ya tatu na ya mwisho

    Pole Sana mpenz ushauri wangu futa vitu vyake vyote then jitahidi kumtoa in ur mind kidogo kidogo utazoea then u can start new life nautampata mwenye nia ya kweli nawewe why uzidi kumng'ang'ania mtu ambaye amesha kuonyesha kua Anakutamani tu Hana real love nawewe
  6. atutu

    Kibonde anamsifia rais kila jambo, kulikoni?

    Amechelewa kimsifia kipindi hiki nikazi bure cz saivi mkulu na clouds ni differ maybe ajaribu 2020
  7. atutu

    Tecno smart phone ni shidaaaaaa

    Tenco ukweli sijawahi kutumia na sizipendagi tu...tumia Samsung hotojutia wallah
  8. atutu

    Nafasi za kazi Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma (NHIF)

    Inawezekana cz nimeangalia kwenye portal ajira hawajarusha tangazo
  9. atutu

    Natafuta kazi isio na elimu

    OK sawa mungu atakusaidia utapata insha Allah[emoji120]
  10. atutu

    Mrejesho: Graduates with knowledge in IP/Networking wanahitajika

    Mungu akubariki kwa kutuelewesha[emoji120][emoji120]
  11. atutu

    AOL CONSULTANTS: Mwenye Taarifa sahihi atoe ushahidi

    Matapeli hao me pia walinitumiaga iyo msg nilivoona pesa tu nikajua hakuna jipya
  12. atutu

    Nyimbo nzuri za ku dedicate. mwanzo kabisa wa mahusiano.

    Always Be ma Bby-Maria cary
  13. atutu

    Wasichana: Yaheshimuni maungo yenu

    Very true,yani wanatuaibisha wasichana wenzao wallah Kama mtu anakupenda ata ukijistiri atakupenda tubadilike jamani not right kwakweli
  14. atutu

    Chakula cha kuku wa mayai

    Pole Sana ngoja wanaojua waje kukusaidia mawazo
Back
Top Bottom