Natafuta kazi isio na elimu

haxhym

Member
Oct 2, 2015
22
5
Daah kila mtu anatafuta kazi mimi nisio soma nitaweza kupata kazi jamani kama mtu anayo anishike mkono basi waungwana
 
Kwa mm ntakushaur kama huna haraka ya maisha tafuta garage yeyote ya magar jifunze kutengeneza na kuhudumia magar then pigania upate lesen na ujue kuendesha gar after that tafuta dill la utingo katika magar ya mizigo Fanya kaz kwa hata 6 month kwa ufanisi lazima utapata connection ya watu wenye uwezo wa kukuajiri kwa sabab sikuiz watu wenyemagar wanapenda kuajili madereva wenye uwezo mzuri wa kutengeneza magar.....hii ni all most 3 year kwasabab garage ukijifunza kwa bidii for 2 years inatosha.....yangu n hayo tuuuuuuu usikate tamaaaa
 
Kwa mm ntakushaur kama huna haraka ya maisha tafuta garage yeyote ya magar jifunze kutengeneza na kuhudumia magar then pigania upate lesen na ujue kuendesha gar after that tafuta dill la utingo katika magar ya mizigo Fanya kaz kwa hata 6 month kwa ufanisi lazima utapata connection ya watu wenye uwezo wa kukuajiri kwa sabab sikuiz watu wenyemagar wanapenda kuajili madereva wenye uwezo mzuri wa kutengeneza magar.....hii ni all most 3 year kwasabab garage ukijifunza kwa bidii for 2 years inatosha.....yangu n hayo tuuuuuuu usikate tamaaaa
asant kwa ushaur lkn km unavy jua maixh ya mjn kk ..ukisem uende gerej hulipw .hpo unaitaj kula bdo kodi na matumiz mengne.....asant
 
Hakuna uhusiano wa kazi na Elimu best....Elimu kila mtu amepewa na Mungu ili aweze kutawala maisha yake! We jichanganye hata huko kwa wasomi utapata kazi...huko maofisini kuna watu walienda hawajui kusoma wala kuandika.
 
Kjn we jichanganye tuu kaz utapata hasa usipo chagua na usipo kuwa MVIVU

upo mkoa gan??
 
Hakuna uhusiano wa kazi na Elimu best....Elimu kila mtu amepewa na Mungu ili aweze kutawala maisha yake! We jichanganye hata huko kwa wasomi utapata kazi...huko maofisini kuna watu walienda hawajui kusoma wala kuandika.
ah saw kk nmekuelewaa.. asnt
 
usikate tamaa ktk maisha kuna changamoto nyingi muombe mungu pambana simamia ktk fani/kitu unacho kipenda /kiweza ipo siku utafanikiwa NB usiogope kujaribu kukosea ndo kujifunza na kujijenga kimaarifa
 
Back
Top Bottom