tatz ela . nikipat hata kaz za viwandani sio mbayaKasome ata VETA atleast mweeh
kazi yeyote mimi nafanyaaKazi gani unayo weza kuifanya
asant kwa ushaur lkn km unavy jua maixh ya mjn kk ..ukisem uende gerej hulipw .hpo unaitaj kula bdo kodi na matumiz mengne.....asantKwa mm ntakushaur kama huna haraka ya maisha tafuta garage yeyote ya magar jifunze kutengeneza na kuhudumia magar then pigania upate lesen na ujue kuendesha gar after that tafuta dill la utingo katika magar ya mizigo Fanya kaz kwa hata 6 month kwa ufanisi lazima utapata connection ya watu wenye uwezo wa kukuajiri kwa sabab sikuiz watu wenyemagar wanapenda kuajili madereva wenye uwezo mzuri wa kutengeneza magar.....hii ni all most 3 year kwasabab garage ukijifunza kwa bidii for 2 years inatosha.....yangu n hayo tuuuuuuu usikate tamaaaa
aminiiii myOK sawa mungu atakusaidia utapata insha Allah![]()
hongera mkuu,kama huwezi msaidia mtu mtie hata moyo au mtamkie neno la faraja,Amin Mungu Atamfanikishia jambo lake+OK sawa mungu atakusaidia utapata insha Allah![]()
yaah natia hurum kwl kwl nixaidie kk km inawezknDah unatia huruma kweli.
hahaha kk nitumie vyet vyko bxUkuu wa mkoa upo. Hata ukifoji vyeti poa tu.
ah saw kk nmekuelewaa.. asntHakuna uhusiano wa kazi na Elimu best....Elimu kila mtu amepewa na Mungu ili aweze kutawala maisha yake! We jichanganye hata huko kwa wasomi utapata kazi...huko maofisini kuna watu walienda hawajui kusoma wala kuandika.
sawa kk npo dar es salaamKjn we jichanganye tuu kaz utapata hasa usipo chagua na usipo kuwa MVIVU
upo mkoa gan??
sio majibu..km nikitk kumwambia baba yng bc nisinge post humuKwani baba yako hakukuandalia ajira?
Mkuu ungekuwa Ushirombo ningekuunganisha kwenye mgodi wa Seleman kule wanalipa elfu 7 kwa siku ila malipo baada ya siku 15, mwezi mmoja au miwili .yaah natia hurum kwl kwl nixaidie kk km inawezkn