Ngoja kwanza ume andika umesoma nje ya nchi na uko nje ukashindwa kutafuta kazi ukaomba mtu alie Tz akusaidie kutafuta kazi nje ya Tz
Lakini pia Iko kingereza kwenye hiyo barua Yako mbona kina nipa ukakasi kuamini kua umesoma nje ya nchi?
Embu nikaendelee kulima tu hakuna namna.
Baada ya kuhasiwa Red-me ume amua ujiite kabisa Binti tz
Astaghafullah one man down ume ona madem wanafaidi kupigwa miti na ww umeona ukawe mpigwa miti na mizizi yake.
Kwa maelezo wame katiwa umeme sababu ya malimbikizi ya kutolipa umeme (which is not true ) kwa Tz ya sasa Kuna mtu anae tumia umeme wa Tanesco pasipo mfumo wa Luku?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.