Recent content by Atacms

  1. Atacms

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

    Kama simu Yako ina sapot Dual apps download another Whatsapp file Toka play store Kisha unganisha kwa namba nyingine tofauti na Ile ya awali ambayo ime zuiliwa karibu hili Kisha leta mrejesho.
  2. Atacms

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kutatua changamoto ya Whatsapp yangu

    Simu Yako ime wahi kua Rooted? Au ni zile used Dubai umenunua maduka ya China Plaza? Naweza kua na suluhisho nijibu ayo maswali kwanza
  3. Atacms

    JamiiForums Tanzania Missiles za Iran Zimetua Ukraine

    Yaaan taarifa kama hii isiwepo Al Jazeera? Na Iran Wana sababu ipi ya kurusha misile Ukraine? Tukisema wavaa kobaz akili zenu ndogo mnakataa ona shekhe uyu kaokota kihabri uchwara apa pasipo kureason kasha leta Breaking News
  4. Atacms

    JamiiForums Tanzania Ubabe- Netanyahu kaulizwa vipi kama ICC ikimkamata?

    Kiboko ya wavaa vipedo uyu bwana
  5. Atacms

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Tatizo wavaa kobaz mna catch feeling mapema hivi vita sio vya kidini lakini ukisoma maandiko yenu meng nyie ndo wa kwanza kuleta udini nasema hivi Hawa Iran hawana tofaut na mbwa Koko kipigo wataendelea kucheza mpaka siku watakapo tia akili
  6. Atacms

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Shangaa atakuja kujitetea hapa kua yeye n mvaa msalaba
  7. Atacms

    JamiiForums Tanzania Katika vita ya Midle East wewe uko upande gani?

    Salaam alykum sheikh ubwabwa?
  8. Atacms

    JamiiForums Tanzania AL Jazeera wanahoji kwanini Iran inashambulia nchi za Kiarabu lakini wanaogopa kuishambulia Israel na Meli za Kivita za Marekani?

    Ume jaza pumba tu hapa mahaba meeng kumbe shudu tupu
  9. Atacms

    JamiiForums Tanzania Argentina ni lazima ashinde kombe la dunia, hizi hapa facts za ajabu

    Iangalie isuse
  10. Atacms

    JamiiForums Tanzania Kariakoo kuna vita kali kati ya wauzaji wa jumla na rejareja

    Mitandaoni kume ibuka wapambanaji (tuwaite hivi ndo ina wafaa) Hawa Wana jiita wauza jumla kiuhalisia ni wa unga unga mwana tu Wauza jumla wa kweli kkoo kuwakuta Wana page za kutangaza biashara zao ni wachache sana na huwezi Kuta Wana bei zisizo eleweka. Kwa hiyo point ina rudi pale pale wauza...
  11. Atacms

    JamiiForums Tanzania Bila La Masia Spain isingebeba Kombe la Dunia 2026, hawa ni wachezaji waliopitia La Masia (academy ya Barça)

    Dogo maumivu yakizidi muone daktari
  12. Atacms

    JamiiForums Tanzania Marekani imechapika hapo M.E mpaka Maafisa wa Marekani wanashuku kuwa China au Urusi huenda wanasaidia Iran

    Pale mahaba yanapo mzidia mchina mweusi
  13. Atacms

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    Tunao nuka kisamaki tuna ruhusiwa kucomment hapa?
  14. Atacms

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Jamii tajiri zaidi Tanzania?

    No Research no right to speak
  15. Atacms

    JamiiForums Tanzania Sitakuja kuoa kamwe. Siamini kwenye Mapenzi

    Washamvunja uyu
Back
Top Bottom