Recent content by Atacms

  1. Atacms

    Inakuaje viongozi wa Iran wanauawa sana, ni kwamba hawawezi kujilinda au wanafeli wapi ?

    Intelligence ya Iran imeoza full stop bla blah nyiiing uyo Rais WA sasa, hawaja amua tu kumua wakintaka Wana mtoa Roho muda wowote kama Ibrahim Rais.
  2. Atacms

    Mkurugenzi mstaafu wa ujasusi Uingereza: Iran amemzidi Marekani kwenye hii vita

    Huu Uzi wamejaa viremba na wavaa vipedo wakijifariji Top Government structure yote imesambaratishwa bado mtu ana kwambia Iran kashinda hii vita? 😆😆😆😆😆😆 twende kwa facts Targets eliminated both Israel & Iran Top leaders Military Areas/bases Missiles cities Etc etc
  3. Atacms

    Saud Arabia ameamua kuingia vita na Iran

    Kipigo anacho pokea Iran safari hii hatokaa kuthubutu kurusha tena machuma chuma yake pale Tel Aviv
  4. Atacms

    Wachambuzi wengi wa vita vya USA Israel - Iran hapa duniani wanaipa Iran ushindi

    Ukiambiwa mavi mabichi basi ndo haya R.I.P Ali Larjan
  5. Atacms

    Tetesi: The US aircraft carrier USS Abraham Lincoln has been hit by four ballistic missiles

    Habari kubwa hivi halafu hakuna picha Wala video?
  6. Atacms

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Pesa hua haitaki kelele ndugu sijawahi ona tajiri ana kuja mtandaoni kuomba kuonyeshwa/kuelezwa ni wapi aka wekeze pesa zake ukiombwa uoneshe hiyo balance utaonesha? Kama unakojoa kwa kusimama onyesha kitu kama iki otherwise we ni FATUMA tu aka Fetty mipasho.
  7. Atacms

    Tetesi: Mojtaba Ali Khamenei kumrithi Ayatollah Ali Khamenei baada ya kuuawa baba

    Eye in the Sky... Siku sio nyingi tutasikia msiba mwingine
  8. Atacms

    Ni nani sasa anakamandi vikosi vya IRGC?

    Hakuna wakuongoza ndo maana Wana rusha rusha hovyo makombora kwenye nchi za watu wakipiga mahoteli, viwanja vya ndege na makazi ya watu Iran wame vuna walicho kipanda
  9. Atacms

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Iko kikosi unacho ulizia kilisha sambaratishwa pamoja na ndege zake zilizo zeeka zote ishwa na
  10. Atacms

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Burj khalifa na majengo mengineyo ya hotel pale Dubai ni military infrastructure? Airport zinazo shambuliwa pale Bahrain ni military infrastructure? Hizi ndizo akili Unde za waajemi kua wakishambulia hayo maeneo wanakua wame pata faida Gani?
  11. Atacms

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Mna shangilia kulipuliwa majengo nyie jamaa mko na shida sana Leta list ya key military figure ya Israel iliyo kwisha uwawa mpaka sasa hv Na mm nikuonyeshe mamia ya majenerali wa kiiran na kiongozir wao alie uwawa siku ya kwanza tu ya mashambuliz.
  12. Atacms

    Israel na Marekani zaishambulia Iran. Serikali ya Israel yatangaza hali ya hatari

    Wazee wa kupiga majengo Zero Casualties Zero Complex military target Yaan mna rusha rusha hovyo makombora mnataka kuachivu nn? 😂😂😂😂😂😂😂😂😂
  13. Atacms

    Kama kweli Netanyahu anaipenda Israel na waisrael, basi namshauri aonane na Ayatollah Khamenei haraka iwezekanavyo kabla mambo hayajamuharibikia

    Ushauri ume tolewa na mmatumbi alie shiba uji wa dengu na maboga kutoka kimbiji Tz, kwenda kwa First World Leader anae ongoza taifa la wasomi na wanazuoni
  14. Atacms

    Ayatollah Ali Khomeini auawa baada ya mashambulizi ya Israel na Marekani

    Kimasikhara bikra zita isha wazee tuvae mabomu tuziwahi Cc Webabu Ritz FaizaFoxy Adiosamigo
Back
Top Bottom