Recent content by Atacms

  1. Atacms

    JamiiForums Tanzania Hakuna muumini yeyote asiye muislamu ambaye anaweza kumchinja NGAMIA,huu ni uthibitisho tosha kwamba uislamu ndio dini ya haki mbele ya Mwenyezi Mungu

    Bwashee kama unalijua hili chimbo emb share coordinates tumpeleke uyu shekhe ubwabwa akapate thwawabu
  2. Atacms

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    1xbet Tz ZMUTU
  3. Atacms

    JamiiForums Tanzania Ukiachana na yale mambo yake, hili dude linastahili pepo yake

    Bonge la series ila maudhui ya ngono yalipo humo ina fikirisha sana. Kifo Cha Main actor (Andy Whitfield) kili nisikutisha sana japo haikuzuia series kuendelea ila Ile Radha ilipungua kidogo.
  4. Atacms

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Kuna kitu mtoa mada haja kiweka wazi ila kwa mtazamo wangu nime jaribu kufikiria hizo Odds na aina ya option yawezekana ndipo shida ilipo Aina ya mchezo ni basketball option ni kua kipindi cha kwanza team zote zifunge point kuanzia 25 ndio ushinde (kampuni imeweka odds 8 mpaka 9) kwa option...
  5. Atacms

    JamiiForums Tanzania KERO Nimeshinda Sh 27M kwenye kubet, Kampuni inataka kunipa Sh 3M, Gaming Board hainisaidii

    Siku utakapo shinda pesa mingi ndio utajua kwanini hizi kampuni hua zina hitaji ufanye Full Registration kwa ku verify acc kama hukuweka/attach necessary document wakat una fungua akaunt yako
  6. Atacms

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    EZH833R BetPawa
  7. Atacms

    JamiiForums Tanzania Ya nini Kununua Range Rover Moja wakati kwa Bei iyo iyo unapata Xiaomi SkyNomad Nne!

    Nazani taste yake watanganyika hawaku pendezwa nazo maana show room Yao ipo barabara ya Nyerere zime doda tu.
  8. Atacms

    JamiiForums Tanzania Tabora tunataka RC Muislam sasa

    Tukisema haya majamaa hamnazo mnachukulia poa angalia sasa maono yake.
  9. Atacms

    JamiiForums Tanzania Putin akitoa amri ya kuua huyu jamaa atafika siku 7

    Tatizo la vijana kuendeshwa kwa hisia uyo anae toa amri unazani nae hawezi kufikiwa ndani ya huo muda?
  10. Atacms

    JamiiForums Tanzania Binafsi sioni faida ya kuwa humu.

    Attention seeker as usual
  11. Atacms

    JamiiForums Tanzania Nyumba ya kubomoa inauzwa Kawe, karibu na Maghorofa ya Samia — ipo Main Road, inatazama Old Bagamoyo

    Iyo pesa ina nunua Hilo eneo lote ulilo zungushia rangi nyekundu kama sivo basi punguza iyo Sifuri (0) uliyo ongeza kwenye Iko kiasi
  12. Atacms

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Niko na Huawei P30 Pro ya 2019 nadunda nayo ayo ma $$$ nawaachia nyie asee.
  13. Atacms

    JamiiForums Tanzania 9 September 2026: Apple wazindua simu tatu, iPhone Duo, iPhone 18 Pro, iPhone 18 Pro Max na accessories nyingine!

    Kwamba Steve job alikua punga? Una hakika na ulicho andika hapa? Tim Cook una mfahamu?
  14. Atacms

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    1xbet Tz K1ZS3 Odds 8
Back
Top Bottom