Huu Uzi wamejaa viremba na wavaa vipedo wakijifariji
Top Government structure yote imesambaratishwa bado mtu ana kwambia Iran kashinda hii vita?
😆😆😆😆😆😆
twende kwa facts
Targets eliminated both Israel & Iran
Top leaders
Military Areas/bases
Missiles cities
Etc etc
Pesa hua haitaki kelele ndugu sijawahi ona tajiri ana kuja mtandaoni kuomba kuonyeshwa/kuelezwa ni wapi aka wekeze pesa zake ukiombwa uoneshe hiyo balance utaonesha?
Kama unakojoa kwa kusimama onyesha kitu kama iki otherwise we ni FATUMA tu aka Fetty mipasho.
Hakuna wakuongoza ndo maana Wana rusha rusha hovyo makombora kwenye nchi za watu wakipiga mahoteli, viwanja vya ndege na makazi ya watu
Iran wame vuna walicho kipanda
Burj khalifa na majengo mengineyo ya hotel pale Dubai ni military infrastructure?
Airport zinazo shambuliwa pale Bahrain ni military infrastructure?
Hizi ndizo akili Unde za waajemi kua wakishambulia hayo maeneo wanakua wame pata faida Gani?
Mna shangilia kulipuliwa majengo nyie jamaa mko na shida sana
Leta list ya key military figure ya Israel iliyo kwisha uwawa mpaka sasa hv
Na mm nikuonyeshe mamia ya majenerali wa kiiran na kiongozir wao alie uwawa siku ya kwanza tu ya mashambuliz.
Ushauri ume tolewa na mmatumbi alie shiba uji wa dengu na maboga kutoka kimbiji Tz, kwenda kwa First World Leader anae ongoza taifa la wasomi na wanazuoni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.