wingi si hoja! cha msingi ni kutetea yaliyo ya msingi katika kuhakikisha kila mwanadamu anafaidi matunda ya nchi yake. mwaweza kuwa wengi sawa lakini...............nisaidie kumalizia.
ukisikia kubugi leo ndo umebugi mkuu.... Yaani watu waache kujadili vitu vya maana waanze kubishania mahakama ya kadhi humo bungeni.... hicho ni kipengele kidogo ambacho kitapitishwa tu bila hata mjadala...... na mambo mengine yataendelea. kakwmbia nani mahakama ya kadhi ni udini? kaigoogle...
Halafu mnavokuwa mnalinganisha hivyo vyuo vyenu hebu kiweke UDSM pembeni kwa Tanzania na Afrika mashariki nzima hakuna kinachokifikia kwa ubora... kwa maana kwa utafiti wa mwaka 2013 kilikuwa chuo cha 4 Afrika kikizidiwa na vyuo vitatu vya south Africa tu..... Endeleeni na mjadala wako wa Mzumbe...
Askutishe mtu ndugu yangu... Ni kweli wasichana especially tusiokuwa wavivu mchana kupokea cm ni bahat na cbu labda ucku...yaani unavoamka asubuhi ukaiacha simu kitandan au kabatini ndo basi mpaka umalize shughuli za nje urudi ndani ndo uishike tena waweza kuta mixd calk ila uliacha chakula...
Nina mashaka na chuo ulichomaliza dogo kwa maana kama utafiti wenyewe ndo huu ni hatari saaaana yaani huna hata jirani anayevifahamu vyuo na sifa zake akakujuza???????? Hujui kitu chapa lapa kuropoka sio lazima...
Jamani mbona mimi cku sio nyingi nilisoma habari kwamba tz imeshinda kesi inalipwa fidia ya sh billioni sita na kumiliki ile meli ya kichina??? Ss vipi kesi imerudiwa?......
Msubiri huyo mchumba wako aje then mwambie real stuation usimfiche halafu yeye ataamua kama muendelee naye atamlea mwanao au aachie ngaz mwenye mtoto aolewe... Hapo mtaelewana ila ukiacha aje kuyatoa mtaani itakukost ndugu yangu... Kuwa muwaz atakuelewa tu maadam anakupenda.
Sawa kakosea aliyetuma hiyo post ila na wewe usimkosoe kwa kukosea.... Kama hujui jambo nyamaza tu mwambie ndugu umekosea... Ww unatupotosha zaidi........aghhkh!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.