Huyu mwanamke simuelewi

Huyu mwanamke simuelewi

Sass ukijakulalamika huku ndio utanielewa:what::what:
 
He he heiyaa (kicheko cha dida) mchana hata m npo busy doctor wangu lazma niongee nae aisee
 
Askutishe mtu ndugu yangu... Ni kweli wasichana especially tusiokuwa wavivu mchana kupokea cm ni bahat na cbu labda ucku...yaani unavoamka asubuhi ukaiacha simu kitandan au kabatini ndo basi mpaka umalize shughuli za nje urudi ndani ndo uishike tena waweza kuta mixd calk ila uliacha chakula jikon hivo ukaiacha tu. . Ila wale watoto mayai wavivu vivu muda wote yuko na cm hata akiwa jikon ukumpigia atapokea tu muda wote
 
Mchana nzi usiku mbu sasa kama wewe ni usiku nadhani jibu unalo.
 
Si amekuambia anakuwa bize mchana?? Unataka nini zaidi??
 


Hivi nikiwauliza mmelijuaje hili mwaweza nipatia jibu linaloridhisha??
Mbona mgumu kuelewa watu8 Tumejua baada ya kusoma kwa makini thread ya mleta mada maana majibu yako wazi kabisa!rejea kusoma tena halafu utupe like zetu mi na miss chaga.Si ndio mamito misschaga
 
Last edited by a moderator:
Kama unashindwa kutatua tatizo dogo hivi na kulielewa basi na wewe mleta mada Una tatizo! We huna kazi ya kufanya? Mbona unaonyesha kujikomba sanaaaa embu act Kama dume yaani Kama humtaki flani hivi uone Kama hatakutafuta!!
 
Back
Top Bottom