Recent content by asali tamu

  1. asali tamu

    Mpenzi mwenye mtoto, ni kweli wanaweza wakaachana na mzazi mwenzie?

    Kwa huyo ukaribu walionao zat is too much...mm huwa c amini kama wanaachana it doesnt matter how many years it will take
  2. asali tamu

    Ushauri: Mume hataki kufanya mapenzi na mimi, anataka mtoto niliyezaa kabla ya kunioa

    dahaa hata kuvumilia cjui utavumilia mpk lini pole sana jaribu kuongea nae kwa Mara nyingine uone
  3. asali tamu

    Nimemchomea mke wangu kazini kuwa anatumia cheti feki

    alimwaga mboga umemwaga ugali....upo sawa usijilaumu kwa ulichofanya
  4. asali tamu

    Hatimaye nimetoa talaka na nimerudi kwenye dini yangu

    cjaelewa umeandika nn...nonsense
  5. asali tamu

    Tujifunze kwa huyu mama

    ndoa ndoano hatuamini bora liende,
  6. asali tamu

    Nini kinafata TCU baada ya kutoa Post?

    wamedai tar22 mwez wa 9
  7. asali tamu

    Naamini kwamba mtu hukumbukwa kwa mazuri yake

    Apo umenena, kuna wengne bora wapite tu maana hamna cha maana alichokufanyia
  8. asali tamu

    Nimeumia sana baada ya mwanamke kunichezea na kuniacha

    Kakuona huna jipya, jipange tena hahaahahaha
  9. asali tamu

    Nahisi simpendi mke wangu

    Mkw wako ana maneno sana, sasa hapo kazi unayo, huyo ndio tabia yk hawez kubadilika, pole sana
  10. asali tamu

    Mwanafunzi afia kambini JKT Tabora

    Pole kwa familia ya halima, mungu akupumzishe kwa amani, amina
  11. asali tamu

    Maandishi sikusoma wala picha sikuona

    Ujumbe wako umenigusa so sad, umenikumbusha mahusiano yangu ya past, mm mwy niliona nikimbie mapema
  12. asali tamu

    Mpenzi wangu ananizidi umri!

    Hamna tatzo fungeni ndoa
  13. asali tamu

    Wanawake mkubali mkatae mwanamke mjinga huvunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe

    Hata mwanamke na yy anataka kubembelezwa, na hao wanaweza kufanya hyo kaz ni wale ambayo hawana kaz za kufanya
  14. asali tamu

    Nimepoteza ndoa tatu kisa mtoto , njoo umchukue, ntakuja kumtembelea kwako

    Mwanao ndio rafki yk, ndio kila kitu kwako,ucje ukamsaliti mwanao kuwa nae popote, uwenda ukimpa baba yk utajuta mtoto atateseka
Back
Top Bottom