Ligogoma
JF-Expert Member
- Aug 27, 2010
- 3,502
- 6,444
hakuna kuaminiana sasa hivi.....mie anko wetu amefariki kwa ajali.....na alipofariki mambo yake mengi ndiyo yamegundulika.....alikopa mil 30 hata mkewe hajui.....na haijulikani hiyo hela kapeleka wapi......kwahiyo ndiyo hvyo.........
Mkiona hamuaminiani basi ujue hamfanani! Usipomuandika mkeo au mumeo kuwa ili aje kuwa mrithi wa mali zenu na kuendelea kuzitimiza ndoto za watoto wenu unategemea nani mwingine atachukua nafasi hiyo??
Haya kama huyo mjomba wako kwa kukosa uaminifu inawezekana ndoto za watoto wake kafa nazo!! Faida yake nini sasa??