Hatimaye nimetoa talaka na nimerudi kwenye dini yangu

Hatimaye nimetoa talaka na nimerudi kwenye dini yangu

Michael Ngusa

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2014
Posts
1,637
Reaction score
463
Hili ni la uzoefu! Baada ya kutoka kazini nikapitilizia kwa shehe kuuliza taratibu za talaka kiislamu nikaelekezwa, mtoto wa kiume nikamkutae mama mkwe (maana baba mkwe, wife sikuwakuta) nikampa makavu (kauli ya talaka kwa maneno na kwa barua, ingawa aliikataa barua, lakini amewafikishia ujumbe).

Kila ndugu akapewa taarifa kwa simu, na shehe akakubali. Nimeirudia dini yangu ya Ukristo nilimmiss sana Yesu Mnazareti! I feel very released and ready to mingle the nightlife again wouuh! Kimbembe sasa, wife kakimbilia kwa bamdogo, na bamdogo ananiita kesho huko na mimi kwa hatua hii siruhusiki tena, niende au nisiende?

Kama unajua comment yako ni "kwanini uliwahi kuoa?" "shule zimefunguliwa?" "hawa watoto wa siku hizi!"ndugu, usijaze server maana nitakupuuza tu.

Karibuni
 
Hebu lala kwanza ,, Au na hii utaipuuza pia?
 
Na kama comment ni 'kwanini umemuacha' nayo utaipuuza?
 
Unaonekana mtoto bado peleka facebook wakakushauri watoto wenzio..................Au na hili utapuuza?
 
Mazoezi ya kuandika ESSAY haya bila shaka.
 
Dah...hili ni bonge la eksipiriensi! baada ya kutoka kazini nikapitilizia kwa shehe kuuliza taratibu za talaka kiislamu...nikaejlekezwa, mtoto wa kiume nikamface mama mkwe (maana baba mkwe, wife sikuwakuta)...nikampa makavu (kauli ya talaka kwa maneno na kwa barua, ingawa aliikataa barua, but amewafikishia ujumbe) then kila ndugu akapewa taarifa kwa simu, na shehe akapewa buku 2 ya soda.

Nimeirudia dini yangu ya ukristo...nilimmiss sana yesu mnazareti! I feel very released and ready to mingle the nightlife again wouuh!!...

Kimbembe sasa; wife kakimbilia kwa bamdogo, na bamdogo ananiita kesho huko...na mm kwa hatua hii sisuruhushiki tena, niende au nisiende?

kama unajua comment yaki ni "kwann uliwahi kioa?" "shule zimefunguliwa?" "hawa watoto wa siku hizi!"...ndugu, usijaze server maana nitakupuuza tu.

karibuni.

Huu uharo umejaza server
 
talaka tatu hazina mjadala. huna haja ya kufanya kikao chochote kimuhususho mwanamke huyo tena
 
Umeandika kihuni inaonekana nawe ni mhuni tu. Ulibadili dini kisa mwanamke ndio maana umerudi huko huko.
Cha mwisho huna busara, how old are you?
 
Early marriages ndio matatizo yake haya.... huna msimamo na dini yako na upendo wako. Yaonesha hukuwa huru huko kwenye hiyo Dini uliyohamia, na ulihamia huko ili umpate mke ambaye umeishia kumuacha na kujisifu hapa. Haya ndio madhara yake... ulilazimishwa kwani? UKIKUA UTAACHA na wala sikushangai.
 
Uamuzi mzuri kurudia imani yako...
but unaonekana janjajanja teh
...msikilize mzee anasemaje then utatupa mrejesho...
 
Back
Top Bottom