Mwanafunzi afia kambini JKT Tabora

Mwanafunzi afia kambini JKT Tabora

hawa jkt wanawatesa sana watoto,hata posho tu hawataki kuwapa ati wanaogopa watatoroka lakin zaid wanasema kabisa kuwa mafunzo yanakuwa yamekolea kama mmoja ya wanafunzi kafa...no there must be some weakness some where...kama ni maleria inamaana sehem nyeti kama hiyo(JKT) inakuwaje hawana utaratibu wa matibab mm naona wanaboa sana hawa hasa pale niliposkia hata posho tu shida hadi saban za kuogea shida jaman na hku wanafanya kazi za uzalishaji kwa aslimia 75...so irritating kwakweli....
 
Iundwe tume huru kuchunguza haya matukio, maana kesho tuu utasikia tamko la jeshi kukanusha na kutoa onyo kali kwa vyombo vya habari na mitandao ya kijamii!! Uchunguzi huru unayakiwa haraka kufanyika na matukio yaliyokwisha kiripotiwa yanatosha kufanyiwa uchunguzi huu otherwise tutapoteza watoto wetu wengi kwa malaria!!
 
Malaria inatibika,how come mtoto anakufa?nyie watu wa serikali mlioko humu nisikilizeni kwa makini sana,MWANANGU HATAENDA JKT.Niko radhi kuipinga hii sheria popote pale na ikishindikana atakaa nyumbani auze duka lakini huko kuzimu haendi. huu upuuzi wa JKT sitaki kuusikia,full stop.na kwa jinsi hii vyuo vyenu vya bongo vitapoteza wateja wengi!tutawapeleka Uganda,China,SA na kwingineko,na huko mkibana watabakia huko huko wawe raia wa huko.hatuwezi kupelekeshana mambo ya kijingajinga.hii ishu ya jkt siipendi kama nini,hata ukisoma post yangu utahisi chuki niliyo nayo.
 
Mimi nilikuwa jeshini, huko
ukiugua kwanza unaanza kunyimwa chakula hivyo ni lazima utadhoofika tu,
siri moja ya jkt ni kwamba ukiugua homa kali toroka mara moja
usichelewe, bora urudi ufungwe

kambi gani hiyo, sisi ukipelekwa kotagadi jambo la kwanza unapewa chakula, unaulizwa kama una afya timamu, ukimaliza unapelekwa ofisini kwa ajutanti kubrash viatu vyake ndo mwisho wa kazi.
 
Malaria inatibika,how
come mtoto anakufa?nyie watu wa serikali mlioko humu nisikilizeni kwa
makini sana,MWANANGU HATAENDA JKT.Niko radhi kuipinga hii sheria popote
pale na ikishindikana atakaa nyumbani auze duka lakini huko kuzimu
haendi. huu upuuzi wa JKT sitaki kuusikia,full stop.na kwa jinsi hii
vyuo vyenu vya bongo vitapoteza wateja wengi!tutawapeleka
Uganda,China,SA na kwingineko,na huko mkibana watabakia huko huko wawe
raia wa huko.hatuwezi kupelekeshana mambo ya kijingajinga.hii ishu ya
jkt siipendi kama nini,hata ukisoma post yangu utahisi chuki niliyo
nayo.

huko maisha clab na jolly pub si bora jkt.
 
Poleni wazazi. Halafu utashangaa msemaji wa JKT anaanza kutoa povu eti social networks ikiwemo JF eti ni wazushi. Malabuku.
 
Polen sana wazazi wa bidada Halima.

lakin jaman ivi mtu akifa malaria nalo ni kosa la mafunzo? ivi wanafunzi wangapi wanaopoteza maisha mashulen kwa kuugua malaria? na je wangapi wanakuw wapo kwao na wanakufa kwa magonjwa mbali mbali?

kwann tuanze kuilaumu serikali tuu ama JKT?

sidhan kama kila kifo ni uzembe wa serikali tuu af wanaosema kabakwa jaman hebu tuangalie upya tuyanenayo.

ivi ni watoto wangapi wanafariki wakiwa mikononi mwa wazazi wao?
 
polen sana wazazi wa bidada Fatuma.

jaman hebu tukue kidogo ivi ni watoto wangapi wanaokufa wakiwa kwenye mikon ya wazazi wao? je kwann tulaumu tu mafunzo as if malaria inapatikana kwenye mafunzo tuu na je wale wanakufa malaria mikononi mwa wazazi wao nao tusemeje?
 
Kama wenyewe viongozi wameenda jkt na uzalendo hawana,kazi ufisadi na ufataki,je hawa itakuwaje??,,,waseme tu ukweli kuwa jeshi linahitaji watu waliopitia mafunzo kwani vita vinanukia

kama ni mtoto wangu hakanyagi huko kama wanajeshi wenyewe ni kina komba eti captain hahahaha
 
mmmmh! ni SHIIIDAH

we jamaa una ibua machungu ya familia tulisha anza kusahau,hii post ya tangu mwaka jana july....NAICHUKIA SERIKALI YA CCM KWA KULAZIMISHA wATOTO WETU WAENDE JKT NI UKOLONI.
 
we jamaa una ibua machungu ya familia tulisha anza kusahau,hii post ya tangu mwaka jana july....NAICHUKIA SERIKALI YA CCM KWA KULAZIMISHA wATOTO WETU WAENDE JKT NI UKOLONI.

Nyie ndii mnaokunywa juice za maboksi, serikali iongeze muda iwe mwaka mmoja. Kijana wangu hata wakifuta kwa mujibu wa sheria ni lazima aende
 
Malaria inatibika,how come mtoto anakufa?nyie watu wa serikali mlioko humu nisikilizeni kwa makini sana,MWANANGU HATAENDA JKT.Niko radhi kuipinga hii sheria popote pale na ikishindikana atakaa nyumbani auze duka lakini huko kuzimu haendi. huu upuuzi wa JKT sitaki kuusikia,full stop.na kwa jinsi hii vyuo vyenu vya bongo vitapoteza wateja wengi!tutawapeleka Uganda,China,SA na kwingineko,na huko mkibana watabakia huko huko wawe raia wa huko.hatuwezi kupelekeshana mambo ya kijingajinga.hii ishu ya jkt siipendi kama nini,hata ukisoma post yangu utahisi chuki niliyo nayo.

kweli mkuu una hasira...
 
Nyie ndii mnaokunywa juice za maboksi, serikali iongeze muda iwe mwaka mmoja. Kijana wangu hata wakifuta kwa mujibu wa sheria ni lazima aende

acha hizo dingi mimi siendi...si unasikia mwenyewe watu wanavyo dedi....???
 
Hakuna jkt wanaenda kubaka na kuwapa ukimwi tu watoto wa watu

hujui usemalo maana wewe ni punguani wa akili,hakuna idara serikalini au mahali popote pale penye nidhamu kama jeshini,hivi leo ukiambiwa umtaje mtu au askari aliemwambukiza mfuasi wake au kumbaka una ushahidi wa kudhibitisha hayo?hiazi story za watu wa vijiweni hebu ziacheni na fanyeni mambo kwa uhakika kwani kama kuna ymtatizo mbona hao waliotoka hawalalamiki zaidi ya kujazana makambini kama watu wengine kwa njia ya kujitolea kulitumikia jeshi kwa miaka miwili?ninyi mnakaa vijiweni kuudanganya umma juu ya jkt lakini ukweli utabaki kuwa ukweli na ukitaka kujua uzuri wa jkt waulize waliopitia huko ambao wapo vyuoni
kiukweli ninyi mna hamu ya kwenda jkt ila mnashindwa kutokana na kukosa nafasi sasa mnatumia nafasi hiyo kuudanganya umma.hongera jk hongera serikali kwa kuanzisha program hii ya jkt mujibu wa sheria maana inanufaisha vijana wengi ikiwemo kujipatia ajira binafsi.
 
acha hizo dingi mimi siendi...si unasikia mwenyewe watu wanavyo dedi....???

Wahuni utawajua tu na ndio wanajitahidi kuulinga huu mfumo wakati yeye mwenyewe amepigika kimaisha,kuweni na uhakika na mnachokiongea maana mkono wa serikali ni mrefu na unafika popote pale
 
Hii jkt ina maana gani,ni ujinga tu,eti kuwafundisha watu kuwa wavumilivu na wazalendo,mbona wengi waliopitia huko zamani ndio vinara wa ufisadi,hapa watuambie wanataka kutengeneza taifa la vijana ambao hawawezi kuhoji watakachoambiwa " ndio afande" ili waibe na kula vizuri bila bugudha,hakuna uvumilivu wala uzalendo utakaopatikana pasipo kuwepo HAKI,
 
Back
Top Bottom