Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao...
Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu...
Mkuu jana bwana mdgo Fofana asingelia kama hilo kombe halina maana shehe🤠🤠....sisi hatujashangilia kwenda final ila tumeshangalia kuwafumua Tena huku Kai Mikazo akiwatungua Tena.....tunawakumbusha Tena Bado kwny ligi mnarudi Tena pale....hatujamalizana bdo
Kaangalie kipindi Cha 1998 mpk 2003 jinsi hawa vibwengo kina Paul Scholes walivyokuwa wanabeba ubingwa....walikuwa wanabebwa waziwazi kabisa....it was Fergie effect...kipindi kile kungekuwa na VAR hawa kuku wasingebeba makombe mengi.....he is the least qualified guy to talk about our team...kuku...
Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.