Recent content by arsenal2004

  1. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We Lofa...hyu mawani mnamfukuza lini🤠🤠🤠
  2. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu mfukuzeni....anakula mshahara wa bure kabisa pale darajani
  3. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tutawadunda safari hii kama hatujawai....mara ya mwisho kukutana nao tuliwagonga chuma 5 pale nyumbani kwao
  4. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ubingwa wenu nyny na malengo yenu ni kutoka draw na Arsenal...hapo mnakuwa mnaridhika kabisa🤠🤠
  5. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mtamfukuza tu na huyu mawani....nilisema🤠🤠🤠
  6. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yule bwana mdgo shabiki kindakindaki wa nyukesto nimeshamfanyia booking ndugu zangu...atakuja nyumbani kwangu kula ubwabwa tukisheherekea ubingwa....tusiingiliane🤠🤠
  7. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hyu Kocha mawani naye mtamfukuza tu🤠🤠🤠...tupo hapa
  8. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ww kijana Huwa una mikwara sana kabla hatujakutana ila sasa tukishakutana baada ya hapo ni sababu unaanza kutengeneza🤠🤠....jengeni timu yenu kwa Miaka kama mitano mbele halafu ndo mje sasa tukipige.....Bora Manunu Huwa wanatuotea mara mojamoja...ila na wale madunduka tunawatengenezea dawa Yao...
  9. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mkuu tafuteni mda mje ofisini kwetu pale Sobha center tunapopigaga tizi mje tuyajenge tuwalegezee kidogo🤠🤠.... Unajua sasahivi naona hakuna upinzani Tena ila tunaingia uwanjani tyri na matokeo yetu mfukoni....nawakumbusha tu bdo FA cup tunakutana Tena....na UEFA kule labda mfike fainali....kitu...
  10. A

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Mkuu naona mpo kwny mbio za ubingwa🤠🤠🤠....haya machachari yenu wiki mbili zijazo Kuna jambo litawakuta tu....bdo bwana Kariki wapinzani wanamsoma
  11. A

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mabingwa watetezi wamesusa jukwaa kabisa.....ila Leo tunawaombea waupige mwingi
  12. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Mkuu jana bwana mdgo Fofana asingelia kama hilo kombe halina maana shehe🤠🤠....sisi hatujashangilia kwenda final ila tumeshangalia kuwafumua Tena huku Kai Mikazo akiwatungua Tena.....tunawakumbusha Tena Bado kwny ligi mnarudi Tena pale....hatujamalizana bdo
  13. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Kaangalie kipindi Cha 1998 mpk 2003 jinsi hawa vibwengo kina Paul Scholes walivyokuwa wanabeba ubingwa....walikuwa wanabebwa waziwazi kabisa....it was Fergie effect...kipindi kile kungekuwa na VAR hawa kuku wasingebeba makombe mengi.....he is the least qualified guy to talk about our team...kuku...
  14. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ww Lofa Mkohoti na vilaza wenzio njooni hapa tu discuss namna ya kuandaa sherehe ya ubingwa kwa vidume wenu....nyny mtakuwa kitengo Cha kugawa vinywaji kwa wageni waalikwa kama kina Livakuku na Mama Cita....tangu mwaka 2021 hamjatufunga na hio dalili haionekani kabisa.....narudia Tena hyu Kocha...
  15. A

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    huyu Kocha wenu apewe wachezaji anaowataka....sio Eghbali anayewataka....mtafika pahala ila wakiendeleza ule ufala wao Ile bodi yenu....hakyani hyu rose nyemba naye mtamfukuza
Back
Top Bottom