Uza-Martinelli, Jesus, Norgaard, Ben White
Nunua-Morgan Rodgers, Alvarez, tonali na beki namba 2 mzuri...
Kuna timu zitakuwa haziji uwanjani....msimu huu tumehangaika kwa kuwa ule upande wa kushoto kulikuwa na mamburula...Rodgers aje ku compete na trossard na pia ni namba 10 mzuri....tonali...