Mkuu pole kwa suprise, na pia hongera kwa kupata bibi kutoka kijiji...
Huyo Florence kama ni msomi Tupa kule wanakuwa vizaizai ukiwaoa, tubariki iwe halali..
Acha porojo za kike, yani boss lady anazisikia habari za chiku afu amtafute mtu mwingine???!! Kwani huyo aliempa taarifa za chiku hawezi kupata taarifa zingine?! Nafikiri perio.. yako inakaribia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.