Recent content by arafa255

  1. arafa255

    Iphone 5s

    Iphone 5s for 400k Ios 10.2 Grey color Touch Id
  2. arafa255

    MUNGU nitie nguvu nimalize salama

    Hadi sasa hakuna like hata moja.. Ikiwemo yangu.. (mjumbe hauliwi)
  3. arafa255

    Inasemekana Young D karudia kubwia unga

    Tippo wa zizzu ana dhambi gani..?
  4. arafa255

    Zijue pete zenye utajiri wa ajabu

    Hakuna umuhimu wa kupost kisha unasema "kitu fulani huwezi kutaja" baki na hadithi zako za abunuwazi.
  5. arafa255

    Mpenzi anatafuna meno usiku, inaniogopesha sana

    Mkuu, niliachana na binti mmoja kuhusu sababu zingine lakini alikuwa na tabia hiyo pia.. Siyo huyo kweli.. Haaha
  6. arafa255

    Manager: Nashawishiwia kupewa ngono ili nitoe kazi

    Kamuombe ushauri mkewe.. Akikubali fresh..
  7. arafa255

    Acha kabisa, hawa wanawake hawa!!

    "wote tulikuwa wahuni, wanawake watatu na mimi mwenyewe." Haahaaaa...
  8. arafa255

    Wanaume wa ILALA

    Zikitoka wilaya inakuja mitaa sasa..!
  9. arafa255

    Vanessa Mdee katika skendo kubwa ya kutumia madawa ya kulevya (Heroin)

    Mbona wengi sio huyo tu mpk yule mwenye kinukta usoni..
  10. arafa255

    Gazeti la 'The EastAfrican' laruhusiwa kuendelea Tanzania

    Wamesajili kwa laki 5 tu..na mbwembwe zoote zile
  11. arafa255

    Mama kaniletea mke kutoka kijijini bila ridhaa yangu, nifanyeje?

    Mkuu pole kwa suprise, na pia hongera kwa kupata bibi kutoka kijiji... Huyo Florence kama ni msomi Tupa kule wanakuwa vizaizai ukiwaoa, tubariki iwe halali..
  12. arafa255

    Nauli za daladala Dar es Salaam

    Nenda kitengo husika kama Sumatra, hakiki viwango vya nauli ukiona tofauti wasilisha malalamiko yako. Soon watalifanyia kazi.
  13. arafa255

    Nauli za daladala Dar es Salaam

    Umechukua hatua gani mpaka sasa? Au kupost humu tu..?
  14. arafa255

    Nauli za daladala Dar es Salaam

    Poleni sana..ndio public transport hizo..
  15. arafa255

    Town Boss Ladies

    Acha porojo za kike, yani boss lady anazisikia habari za chiku afu amtafute mtu mwingine???!! Kwani huyo aliempa taarifa za chiku hawezi kupata taarifa zingine?! Nafikiri perio.. yako inakaribia.
Back
Top Bottom