Zijue pete zenye utajiri wa ajabu

Zijue pete zenye utajiri wa ajabu

f497994302a274908d6095991618c177.jpg

Tukiachana na hayo leo ningependa kukugusia kidogo kuhusu PETE zenye maajabu makubwa chini ya jua. Kwanza nikuhabarishe tu kuwa pete za Freemason zipo aina kumi na tatu (13) na pete zote hizo zina tofautiana uwezo wa kufanya maajabu. Unapoojiunga tu na freemason baada ya maelekezo kidogo unaapishwa na kupewa pete No, 01 ambayo inafamika kwajina ambalo siruhusiwi kulitaja hapa, pete hii inavaliwa baada ya kula kiapo maalumu cha kulinda na kuhifadhi siri zote za Freemason hadi mwisho wa uhai wako.
Kwa kawaida unapovalishwa pete hii na kula kiapo unatunukiwa cheo cha degree ya kwanza katika maisha yako ndani ya chama na degree hiyo inaendana na zawadi ya kiasi kisichopungua shilingi million mia moja ( Tsh.100,000,000) fedha hizo unapewa kwaajili ya kuanza biashara au kuendeleza biashara zako na unaweza kupewa zaidi kulingana na uongozi utakavyoona. Yapo masharti mbali mabali utakayopewa ambayo siwezi kuyaandika hapa lakini niseme tu yanatekelezeka kama una nia ya dhati.

4a7f86df6a5f20ba4ace327467eb57a9.jpg

Nadhani kwa leo niishie hapa kwenye hii pete ya kwanza siku nyingne nitakuja kuwaelezea ni jinsi gani pete ya pili inavyopatikana na kiasi cha pesa anachopewa mwanachama aliyetimiza masharti ya kuweza kuimiliki pete ya
Hakuna umuhimu wa kupost kisha unasema "kitu fulani huwezi kutaja" baki na hadithi zako za abunuwazi.
 
Pepo mchafu ...Jesus msaidie huyu ajue Kweli maaanake umekuwa kipofu
 
Huko FREEMASON NI WAPI ??? hizo hela hata mimi nazitaka.
 
Halaf haya mambo ya freemason yapo bongo tu
Watu wanapenda sana vitu rahisi
 
Naskia harufu ya kutumbuliwa mtu humu mwisho wa siku...
 
f497994302a274908d6095991618c177.jpg

Tukiachana na hayo leo ningependa kukugusia kidogo kuhusu PETE zenye maajabu makubwa chini ya jua. Kwanza nikuhabarishe tu kuwa pete za Freemason zipo aina kumi na tatu (13) na pete zote hizo zina tofautiana uwezo wa kufanya maajabu. Unapoojiunga tu na freemason baada ya maelekezo kidogo unaapishwa na kupewa pete No, 01 ambayo inafamika kwajina ambalo siruhusiwi kulitaja hapa, pete hii inavaliwa baada ya kula kiapo maalumu cha kulinda na kuhifadhi siri zote za Freemason hadi mwisho wa uhai wako.
Kwa kawaida unapovalishwa pete hii na kula kiapo unatunukiwa cheo cha degree ya kwanza katika maisha yako ndani ya chama na degree hiyo inaendana na zawadi ya kiasi kisichopungua shilingi million mia moja ( Tsh.100,000,000) fedha hizo unapewa kwaajili ya kuanza biashara au kuendeleza biashara zako na unaweza kupewa zaidi kulingana na uongozi utakavyoona. Yapo masharti mbali mabali utakayopewa ambayo siwezi kuyaandika hapa lakini niseme tu yanatekelezeka kama una nia ya dhati.

4a7f86df6a5f20ba4ace327467eb57a9.jpg

Nadhani kwa leo niishie hapa kwenye hii pete ya kwanza siku nyingne nitakuja kuwaelezea ni jinsi gani pete ya pili inavyopatikana na kiasi cha pesa anachopewa mwanachama aliyetimiza masharti ya kuweza kuimiliki pete ya
Nawezaje kujiung mkuu maana nawatafta awa muda mrefu
 
Watu kwa uongo hamjambo yani mtu anatunga story za uongo ili naye aonekane ni freemasons..
 
pale aliposema "yapo masharti.....lakini yanatekelezeka", vijana wa kabila la wakinga wakipasoma,bila shaka wataifuta ofisi ya freemason ilipo.
 
Back
Top Bottom