Habar wana jf nataka kufanya biashara ya vocha za jumla sijajua utaratibu wake na faida yake km nitapat mtyu kwenye ujuzi na hii biashara akanielekeza itakuwa safii kwan atakuwa kanisaidia sanaa najua hap ni kila kitu hakuna kinachoshindikan km tukihamua kushirikiana .Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.