Mke wangu maji mara moja

Mke wangu maji mara moja

Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
Kweli hili ni zigo la mpumbavu,ulibeba mwenyew n kama zigo la mavi hakuna wa kukusaidia utalibeba mwenyew. Yani unawaibisha wanaume wenzako ivi.Aki vile waombe msamaha kweli maan c kwa ujinga huu.
 
Umri wako tafadhali??????ili nipate cha kuchangia maana naunganisha dots zinakataa!!!
 
Mwakani atakuwa maji Mara nusu....vumilia tuu
 
Jamani nisaidieni,

Huyu wife wangu nampenda ila mara nyingi namkuta uchochoroni watu wamebambia, nimesema mpaka nimechoka ila nashindwa kumuacha kwakuwa ni mnyenyekevu sana kwangu na mpiganaji sana katika maisha.

Nisaidieni.
Kumbe hauna akili.. huyo sio mke huyo ni Malaya.. tafuta mke uoe
 
Ni mnyenyekevu hadii anaamua kugawa hovyoo duuh hafaii huyo magonjwa mengi sana siku hizi
 
YAANI JF KUMEKUWA KUBAYAAA JITU LINAAMKA NA UKWASI HATA MSWAKI HALIJAAMSHA LINAWAZA KULETA PUMBA HAPA JF WEWE MLETA UZI ACHA KUPOTEZA MUDA KWA MAMBO YA KIJINGA MKE WAKO UNATUELEZEA SIE UJINGA WENU ILI IWEJE WATRU TUNA MIPANGO YA MAANA WE UNALETA UCHAFU HAPA
Ungepita bila kutia neno ningekuelewa.
 
Wewe una akili za kimumiani hata peponi huendi huna wivu au ww ni hanithi?kutwa kujionesha una mke kumbe una mkereketwa hahah.wacha wauni wakusaidie wew mshika paja
Heri yako wewe ambaye hatujui siri zako.
 
Dhambi ya kuvunja ndoa inawanyemelea wana jukwaa.
 
Hahaha yaani wewe ni mbulula kabisa, unamegewa alafu unasema eti huwezi muacha kwakua nimpiganaji wa maisha, wanaume kama nyie hakika bora sijui……
 
Back
Top Bottom