Tores alikua mfungaji mzuri alipokua liverpool lakini alipokuja chelsea hakufanikiwa na alikua anacheza ligi ya uingereza ...kwahiyo haya mambo hayahitaiji uzoefu... ni mfumo tu wa uchezaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Amuite aongee naye tu taratibu...maana sikuhizi wamekua wajaja sana...mimi nilimshushi kelubu za maana dogo mpka akakimbilia kujifungia chumbani af akajifanya amekunywa sumu eti anataka kufa mpaka mama anatoka kazini kwasababu ya ujinga wake ....
Basi tulipofanikiwa kufungua mlango kila dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.