Lukaku, Morata na Lacazette: Nani mkali zaidi?

Lukaku ni anatumia uwezo binafsi,..ii inaweza ikamchanganya akiwa man u,kama wenzake hawata MPA support,.. Morata ni very intelligent striker kwa iyo wakicheza na hazard they can make wonders kama wakielewana,
...watakua invincible
Unawajua akina RYAN SHAWCROSS, REID, HUTH, SCOTT DUNN nk?!

MORATA akamuulize mspanish mwenzake JOSE REYES atamsimulia kuhusu EPL.

Leo nimecheki ile friendly ya USA, na ninaona LUKAKU atafanya vyema sana ... Kwa kuzungukwa na wachezaji kama POGBA, MICKI na MATA ukichangia na finishing yake tumelamba dume.

#GGMU#
 
Hii haina mjadala kwani Lukaku ameonyesha kwanini alikuwa anagombaniwa na Everton yenyewe, Man Utd na Chelsea.....jamaa ameonyesha kuwa anaijuwa vizuri Premier League na ni mmoja wa mastraika wakali kwa miaka 3 mfululizo hivi sasa. As for Morata, ni striker mzuri ila si kwa level ya Lukaku. Jamaa anafumania nyavu akicheza na vibonde tu. Kumbuka alipokuwa Juve alichezea kikosi kikali na alikuwa anapangwa kwa mechi zisizo na mshiko, na Spain hivyo hivyo. Ndiyo maana Man Utd waliona bora kuwa na a proven striker kuliko striker wa majaribio.
Acha uzushi,siyo waliona walinyimwa mkuu,wao walitaka wakanyimwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nzi the point hapa ni kwamba tunawafananisha hawa wawili regardless ya clubs tunazozisupport. Kwangu mimi kama Arsenal fan nimefurahia usajili wa Lukaku kwenda Man Utd cuz najua nitarelax when we play against Man Utd. Kwenye career ya Lukaku hajawahi kutusumbua kabisa Arsenal na huwa siku zote anafichwa. Hii ni kwasababu ya uwezo wake mdogo na hawezi kujiongeza!! Morata ni mtu ambaye ana uwezo wa kucreate chance na kuscore kitu ambacho Lukaku hawezi.
Issue nyingine tena ni kwenye price, ukiangalia wachambuzi wengi ulaya kila mtu analalamikia price ya Lukaku. Maana yake pamoja na kwamba number zake za magoli ni nzuri lakini bado hakubaliki na haaminiki.

Mkuu Rejao upo ndugu yangu, kitambo sana sijakuona kule kwenye jukwaa letu pendwa la kina Polepole.

Anyways turudi kwenye point yetu. Mkuu Arsenal kwa Man utd ni kama mbwa kwa Chatu. Hata tukiwa na watoto watupu huwa mnachanganyikiwa. Kumbuka tulikupiga nane kwa kikosi chenye mabeki 7, So Lukaku anaweza kuwa huwa hawasumbui, lakini kwa sasa mkuu unapaswa kumuogopa Lukaku zaidi ya ulivyokuwa unamuogopa Drogba.
 
Morata ajawahi kucheza Uingereza na Lukaku amecheza na kufunga magoli zaidi ya 20 kwenye ligi hiyo. Morata ni mara ya kwanza (msimu uliopita)kwenye uchezaji wake kuvuka magoli zaidi ya 15.


FINISHING
Over the past three seasons, Lukaku has scored more goals per 90 minutes than Morata – 0.51 against 0.33 for the Spaniard – although the 2016/17 was different. Used as an impact sub off the bench, the Real Madrid attacker actually out-scored the Belgian with 1.01 goals per 90 versus 0.69.

In the box, the Everton striker was still more efficient, however. He converted 30% of his shots in the area. Morata managed to convert 27.08%. Over the past three seasons, Lukaku has taken more shots in total too – 3.22 per 90 versus 2.17, or 2.22 on target against 1.40. He has the variety too, with 11 headed goals, 15 off his right and 27 off his left in the league since August 2014.

Winner: Lukaku

HOLD UP PLAY
The Spaniard is without doubt the superior option when it comes to playing with his back to goal. Lukaku prefers to get a run on defences, whereas Morata has shown his value as a centre-forward who can bring others into play, especially during his two year stint at Juventus.

However, the statistics paint a more complex picture that might otherwise be assumed. Over the past three years, Morata has drawn more fouls per 90 than Lukaku (1.90 versus 0.80) and done more when it comes to defensive work, winning tackles and making interceptions (0.81 against 0.23), while the Belgian has actually created more chances (1.30 to 1.03 for the Spaniard) and completed more passes in the final third (10.04 to 6.96).

Despite the Real Madrid attacker recording more assists per 90 (0.26 to 0.16), Lukaku has actually played more through balls too – 20 in total, or 0.19 per 90, to three for Morata, or 0.07. Even so, these numbers must be considered in the context of each players’ respective styles of play and performances.

Winner: Morata.

MOVEMENTS
Here, Lukaku comes into his own. Not only has he shown his ability to pop up in dangerous areas more often than Morata, taking 0.65 shots from “big chances” – situations in which a player finds themselves in a position to shoot from very close range or with only the ‘keeper to beat – over the past three seasons, he has also taken carved out 20 goal-scoring opportunities on the counter-attack, or 0.19 per 90.

Morata, meanwhile, has averaged 0.37 “big chances” and 0.07 chances on the counter per 90, although unleashed off the bench and in a more aggressive role for Madrid last season, the Spaniard actually took on more “big chances” (1.01 per 90 to 0.66) than the Belgian. He is no slouch.

Winner: Lukaku

DUES
A category in which the Belgian just about pips his rival. With his quick feet, he can turn defenders inside out to force back lines to implode, and completed 1.74 take ons per 90 last season (1.18 in the final third) compared to 1.48 (1.08) for Morata. Over the past three seasons, it’s a similar story: 1.44 (1.00) for Lukaku, 1.27 (0.79) for the Spaniard.

In the air, it’s closer still, although not in the way that may be obvious. While the Everton striker rules over Morata through the sheer number of aerial duels won (2.81 versus 0.85 over the last three seasons) for success rate, the Spaniard shows the value of quality, over quantity, completing 46.99% of his headers to 39.97% for Lukaku.

Winner: Lukaku

BIG MOMENTS
The Spaniard’s record is hard to beat. He has already scored more Champions League goals than Diego Costa, and in 2015 found the back of the net in both of the semi-finals and in the final against Barcelona for Juventus. Last season in La Liga, only Lionel Messi and Neymar scored more goals in the last 10 minutes of games than the Real Madrid striker.

Lukaku can be the man of the moment too, however. No player scored more goals from “big chances” in the Premier League last season. He was tied with Harry Kane on 18. The Belgian also topped the charts for goals in the final 10 minutes of action too, with nine – five more than Morata managed in Spain. Against tired legs, his underrated dribbling abilities, movement and capacity to catch teams on the break cannot be dismissed.

Winner: Morata

View attachment 546501
Tores alikua mfungaji mzuri alipokua liverpool lakini alipokuja chelsea hakufanikiwa na alikua anacheza ligi ya uingereza ...kwahiyo haya mambo hayahitaiji uzoefu... ni mfumo tu wa uchezaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nyie pigeni kelele ila Alexandre Lacazette ndio sumu... Ozil atatoa assists zaidi ya 20 msimu huu
 
Mkuu naona ubadili heading ya huu uzi, naona wanaojadiliwa hapa ni Morata dhidi Lukaku na siyo AL.

Yeah nimemwongeza Lacazette maana nae kavunja rekodi ya Arsenal.
 
Binafsi napenda kuchangia huu mjadala kwa kuangalia angle hizi hapa:

Kati ya Everton na R.Madrid ipi timu kubwa zaidi; bila shaka ni R Madrid nikiwa na maana kuwa kuna a very strong squad yenye build up ya goli kuanzia kwa golikipa hadi strikers. R Madrid hawana tofauti sana na Juventus; lakini Everton haipo level sawa na Juve wala R Madrid

Kwa maneno mengine Morata ana sapoti kubwa sana uwanjani kuliko alivyo Lukaku kutokana na tofauti pamoja na uwezo wa timu husika. Bado Lukaku ameng'ara zaidi ya Morata anayecheza sambamba na Ronaldo ama Benzema ama Gareth Bale; huku Lukaku akipambana kama jeshi la mtu mmoja.

Cha ajabu ni kwamba pamoja na kuwa Morata amekuwa kwenye timu kubwa kubwa bado ameshindwa kuwa kwenye strong first team akiwa Juve na hata R Madrid; yaani amekuwa kama sup kwenye timu zake; wakati Lukaku akifanikiwa kuwa kwenye first team na kufanikiwa pia kuibeba Everton

Ninachokiona ni kuwa ukweli ni kuwa Juve na R Madrid ni timu kubwa na imara zaidi ya Chelsea; na kama Morata alishindwa kung'aa vema na R Madrid kiasi cha kuweza kuwa chaguo namba moja basi nahofia kuwa Chelsea ndo atapotea zaidi maana nature ya ligi ya epl ni tofauti na ligi alizowahi kuzicheza hapo awali kuanzia timu yenyewe hadi uwezo wa mchezaji mmoja mmoja.

Kuhusu Lukaku; ni matumaini yangu huenda akarekebisha matatizo yake ya first touch na kumfanya kuwa kati ya wachezaji wakubwa sana Duniani kwa kuwa sasa ana sapoti ya nguvu kuanzia akina Pogba, Miki, Lingaard, Valencia, Blind, Bailly, Lindelof, Martial nk nk jambo ambalo hajawahi kukipata hapo awali tangu amekuwa mchezaji imara na tegemeo kwenye timu husika.

Huenda wazungu wakajitoa ufahamu kuhusu uwezo wa Lukaku dhidi ya Morata kutokana na rangi ya Lukaku.
Naona ushakula maharage ya mbeya

Sent using Jamii Forums mobile app
 
msichokijua wengi humu ni kwamba pale man utd kuna wachezaji wengi wa aina na uwezo wa morata mmoja wapo ni rashford, nazani mnapaswa kumlinganisha morata na rashford ila sio lukaku sababu ni wachezaji wa aina tofauti kabisa, hivyo man utd walikua wanamuhitaji mtu wa aina ya lukaku zaid ya aina ya morata, morata is more creative ana dribble nzur na anaweza cheza nafasi yeyote pale mbele, lukaku is completed number 9 coz anaweza kuscore, ni mzuri kwa mipira ya vichwa na ni hatari zaid akiuweka mpira ktk guu lake la kushoto pia ana nguvu na uwezo wa kulinda mpira hata akizungukwa na mabeki wawili,
sawa ni bado mapema sana kubashiri ila mi naamini hata conte mwenyewe hajalizika sana na usajili wa morata sababu anajua wazi kua morata hataweza kufikisha hata magori aliokua anayafikisha diego cost kwa kila msimu coz yeye alkua anahitaji mchezaji namba 9 kamili na anayefikilia kufunga tu na sio mchezaji machachari na anaefikilia kupiga chenga na kuliacha gori. kutokana n mahitaj ya timu zote mbili naamin lukaku ndio mtu sahii sababu hizi timu zote mbili zilkua znamuhitaji mchezaj mwenye uwezo mkubwa wa kufunga magori na sio mchezaji mwenye vyenga vingi sababu tayari wanao watu hao mf hazad, wilihan, fabi n pedro pale chelse, pogba,mikh, mata, rashford na martia pale man utd hivyo mi naamin man utd wamelamba dume zaid y chelse na naamin mou atataka kumtumia lukaku km alvyokua akimtumia drogba, na conte yeye itabidi aanze kutengeneza mifumo upya ambayo itaendana na morata na atafanikiwa hilo hakika chelse watakua timu tishio sana tena hasa ktk uefa mimi nawaona tayari ktk fainal, ila ktk EPL sizan km watafany vzr sana sababu wana kikosi kidogo na timu nyingi za epl zitawakamia ila naamin watakuepo ndan y top 4, nahis man utd watafany vzr zaid ktk Epl na naliona kombe l epl tayar pale ot ila hawatafika mbali sana ktk uefa, mwisho; Arsenal ndio itakua surprise package yang msimu huu naamin kibabu kitafanya kitu kikubwa sana n kizur msimu huu ambacho watu hatutakiamin.
GGMU

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M
kufunga goli 7 au 8 msimu mzima ndio kudumu? misimu miwili aliokaa italy kafunga goli 15 tu.

wakati lukaku misimu miwili kafunga goli 43.
Mkuu Chief naona leo unaendeshwa na mapenzi kwa timu yako kulko kuchambua kiuhalisia ..
Tunachosema hapa ni kuwa kwanza Morata awali aligombewa na timu mbili man na chelsea sasa jiulize kama Lukaku was the best kwann nyie man mliyltoa priority kwa Morata kabla ya kuzinguliwa na Madrid ndio mkaufyata mkachukua sec option ya lukaku...elewa mkuu kuwa Morata was and is the best as this time we are writting here..now

Kuhusu records za lukaku na morata wala huwez linganisha maana kabla ya kuwalinganisha lazima uchek wamecheza how many minites na sio idadi ya gemu, pia morata amecheza mechi chache na dk chache kutokana na kuzungukwa na magwiji akina ronaldo na benzema ila kama akiwekwa kwenye timu pekeake pale mbele kama na streaker wa pekee utaona impact yake..
We mkuu subiri uone mambo yake The-Bluuz kisha urudi hapa ucomment..
 
Back
Top Bottom