Upande wa magharibi mwa nchi ndipo pepo mbili hukutana, yaani upepo kutoka mashariki(bahari ya Hindi) na upepo kutoka magharibi (bahari ya Atlantic).Hivyo basi,mgongano wa hizo hewa ndo unazalisha radi even if hakuna mvua au mawingu.Hii ni kijiografia zaidi sio ushirikina.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.