Recent content by Anthon Adrian

  1. A

    Hakuna kazi laini kama kilimo

    Theory ni rahisi kuliko practical. Sent using Jamii Forums mobile app
  2. A

    Tulioacha kunywa pombe 2019 tukutane hapa

    Mimi nimepunguza, sinywi ktk week days ila weekend tuonane[emoji482][emoji482] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Je, Wazazi mnayajua wanayofanya mabinti zenu wawapo vyuoni?

    [emoji23] Sent using Jamii Forums mobile app
  4. A

    Nimewaonya sana juu ya matumizi ya pombe!

    Wasiokunywa pombe wanaishi Milele? Kunywa kiasi, furahia maisha yako.. Ovaa[emoji482][emoji482] Sent using Jamii Forums mobile app
  5. A

    Kwanini radi au thunderstorm haijawahi kuangusha ndege?

    Upande wa magharibi mwa nchi ndipo pepo mbili hukutana, yaani upepo kutoka mashariki(bahari ya Hindi) na upepo kutoka magharibi (bahari ya Atlantic).Hivyo basi,mgongano wa hizo hewa ndo unazalisha radi even if hakuna mvua au mawingu.Hii ni kijiografia zaidi sio ushirikina.
  6. A

    Nani aliipa jina la 'Taifa Stars' timu yetu? Linabeba ama kutangaza kitu gani kwa Nchi yetu?

    Mimi napendekeza tuiite timu yetu THE CHEETERS. Kwani huyu ana sifa ya kipekee.Ni mnyama mwenye kasi pengine kuliko wote!
  7. A

    Hivi na hawa hawaendi mbinguni?

    Wale waliokua hawamjui Mungu bado,lakini waliishi kadri ya amri zake wataokolewa!
  8. A

    Alcohol drinkers special thread

    Bombadear hapa Makuyuni chaap
  9. A

    TFF wadaiwa kuwahonga baadhi ya wanahabari ili wamchafuwe Wambura

    Ajitathmini huyo, hawa ndo wanaangusha mpira wa Tanzanian! Takukuru mbona mnachelewa??
  10. A

    Mapenzi ya kweli bado yapo.

    Ngoja aongeze watatu.
  11. A

    Kutetemeka kwa usukani Gari ikifika 75 -85km/h Noah

    Check rackends na tierod and mkuu,hivyo ndo visababishi vikuu
  12. A

    Nilivyonusurika kutapeliwa mtandaoni

    Ni Shiida, ukijipindua inakula
Back
Top Bottom