Anthon Adrian
Member
- Sep 9, 2017
- 17
- 15
Check rackends na tierod and mkuu,hivyo ndo visababishi vikuu
Outo Pilot? For Noah!? This is crazy!Toa Auto pilot.. Weka Nose Down. Ikitulia rudi kwenye Cruising attitude yako... Ila usiweke tena Auto pilot. Inaonekana speedmeter ina tatizo.
Ukishindwa vyote badilisha rims... Za mbele weka nyuma za nyuma weka mbele.. Niliwahi kuhangaika sana na Tatizo kama hilo ila ufumbuzi wake ukawa ndio huo baada ya kwenda kwenye garage moja ya mturuki pale Tankbovu! Na ni kweli maana siku chache zilizopita nilichomekewa na 124 nikajikuta napiga bega la barabara na kupasua tairi pale pale, nilipotoka pale nikafunga tairi nyingine kimbembe cha kushake kikaanzaaa... Doooooh... Nilipata shida mno mpaka kuja kupata ufumbuzi na ndo hapo nikakumbuka kua niligonga!!!
Mkuu ni mounting za engine, kama fundi wako ni mzuri alipaswa aone hizo... Huwa zimejificha kiana...Asanteni Sana, nikiwasha injini ,Gari inatetemeka pia
Siyo lazima na wewe uchangie, kwani ukinyamaza ukawaachie wajuvi wa mambo hayo utapungukiwa na nini?Plugs
Coil
Exhause imetoboka
Pump ya mafuta
tank lina uchafu
hivyo vyote vinapelekea gari kutumia nguvu nyingi kuchoma mafuta
We DAB kweli mnakariri sana ndo tatizo la watanzania ukishapata kipaso chako unajiona expeeeeert mjaribu na kugoogle basiSiyo lazima na wewe uchangie, kwani ukinyamaza ukawaachie wajuvi wa mambo hayo utapungukiwa na nini?
Zinaitwa engine mountingPima pia na stering balance, check na bolt za kushika ingini kwenye bodi ziko sawa
Check Pump au engine mounting...Sasa mkuu kama ukiiwasha tu gari inatetemeka hapo tatizo sio wheel balance au stealing!
Tatizo hapo Ni AMA silencer iko juu sana AMA engine mounting!! Engine kama haikukaa Vizuri kwenye mounting itasababisha gari itetemeke kwasababu engine haijatulia
.... nimecheka kwa sauti, hiyo ni gearbox mkuu, inarudi kwao , wazungu wanaondoka taratibu..... mara nyingi utasikia kwa gari za fito (manual transmission ●)Ya kwangu inatia sauti ya iiiiiiii
Hahahahahahahahah itakuwa inafinywa mahali hio.Ya kwangu inatia sauti ya iiiiiiii
Vile vile angalia pressure ya upepo kwenye matairi yako. Iwapo tairi moja halina pressure ya kutosha hata kama kila kitu kingine kiko sawa bado utapata usumbufu huo.Kaifanyie wheel balance & wheel alignment, Hilo tatizo litaisha
siyo kweli!Plugs
Coil
Exhause imetoboka
Pump ya mafuta
tank lina uchafu
hivyo vyote vinapelekea gari kutumia nguvu nyingi kuchoma mafuta
Mkuu sababu ni mbili! Tu eother gari inamis maana yake kuna plug haichomi vzi ama engine au gearbox mountain zimekwishaAsanteni Sana, nikiwasha injini ,Gari inatetemeka pia
Khaaa.....kweli kazi imemkuta fundi.
Umenikumbusha dada mmoja yeye alisikia propeller ni kifaa cha gari. Basi tatizo kidogo likitokea lazima aulize sio propeller kweli?? hata kama gari limegoma kuwaka yeye ni propeller tu.